Mabere Marando ni nani?

marando anga zingine kabisa mkuu.
 
1.Mabere Marando alikuwa Usalama wa Taifa idara ya Mambo ya Nje.
2. Alikuwa akishughulikia wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika.
3. Alifukuzwa usalama na Rais Julius Nyerere kwa sababu hakuwa na kadi ya Tanu, enzi hizo bila kuwa na kadi hiyo, unatimuliwa serikalini.
4. NCCR ilisambaratishwa na Lyatonga Mrema ambaye alikuwa akitaka kuifukuza Kamati Kuu ya NCCR na Marando na wenzake hawakukubaliana upuuzi huo.
5. Marando alisomea sheria Chuo Kikuu cha Dar (UDSM).
6. Aliwahi kufanya kazi Shirika la Sheria tanzania baada ya kufukuzwa na Kambarage usalama.
7. Marando, Mapalala, Ndimara Tegambwage, Said Fundikira na wengine ndio waanzilishi wa mageuzi hapa nchini walipounda kamati yao iliyoitwa NCCR.
8. Marando ndiye aliyemtoa jela Mapalala kwa njia ya mahakama baada ya kuwekwa kizuizini na Nyerere bila kufikishwa mahakamani, aliwekwa kizuizini Jela ya Kisiwani Mafia. Hayo machache yanatosha.
5. Mrema ambaye naye aliwahi kuwa usalama wa taifa naye akatimka NCCR akaenda TLP nako akaanzisha fujo akawatimua waanzilishi akina Lwekamwa na Tao.
 
Si kweli kuwa Marando ni pandikizi, wala hawajahi kurudi au kuwa mwana CCM
 
Gentamycne alijitahidi sana kumuelezea huyo hanspope wa msimbazi.
 
Reactions: SDG

Salute kubwa!

Ahsante sana, umeeleweka sana, maana naona miaka yote ile 3 wamezunguka tu bila majibu sahihi.
 
Reactions: SDG
Tiss ukiingia ni hadi pumzi yako ya mwisho, hakuna mapumziko wala rikizo.
Kwa hiyo hapo mfanyakazi anakuwa ni mtu wa kazi kwa kwenda mbele, ukisikia/ukahakikishiwa kuwa fulani anafanya kazi huko tuelewe tu kuwa huyo ni mfanyakazi hadi kifo.

Yaani hiyo kazi (kitengo) ni zaid ya ndoa ya Kanisani kuwa hakuna talaka.



 
Agent
 
Nayafahamu vizuri hizo namba 2,3,6 na 7 ila sitaweza kukujibu
 
Uzalendo wa Marando umetukuka sana , kabla hajaumwa aliahidi kutoa matokeo ya uchaguzi kwa kadri yatakavyotililshwa na wananchi ndani ya box la kura , ndiye aliyechangia kukimbia kwa mamluki Mrema na wenzake NCCR MAGEUZI .

Huyu ndiye aliyefuta ule mpango wa kishamba wa Mwigulu na wenzake wa kumbambikia John Mnyika SMS za kutungwa ili ionekane kaziandika John .

Mazuri ya Marando kwa cdm ni mengi mno , mengine si vema kuyaweka hapa .
 
Ninaiangalia post ya The Fixer kwa jicho jipya haswa baada ya uchaguzi wa 2015.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…