ASIE NA MAKUU
Member
- Aug 10, 2021
- 45
- 66
mabehewa yote yanaweza kutumika kwenye reli yo yote iwe ile ya zamani, cape gauge (kama tazara) au sgr. Hata haya ya reli ya zamani yalipoletwa katikati ya miaka ya 1970 huko yalikotoka yalikuwa yanatumika kwenye gauge pana tofauti na yetu.Kuna kitu hapa natamani nikifahamu yawezekana uelewa wangu mdogo. Wakati naelekea zangu Kariakoo maeneo ya Puma niliona mabehewa yale niliyaona kwenye TV na mitandao ya kijamii yakiwa juu ya reli MGR (Reli ya Kigoma-Mwanza)Kama ni kweli yale ndio ya kisasa imekaaje yamefit kwenye hio reli?
Ikumbukwe reli ya SGR ni pana kuliko reli ya zamani au hizo ekseli zake zinatanuka kupungua! .
Ila naona kuna mchezo tunachezewa na hawa viongozi wetu
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Moshi tutafaidi Christmas na New yearmabehewa yote yanaweza kutumika kwenye reli yo yote iwe ile ya zamani, cape gauge (kama tazara) au sgr. Hata haya ya reli ya zamani yalipoletwa katikati ya miaka ya 1970 huko yalikotoka yalikuwa yanatumika kwenye gauge pana tofauti na yetu.
Kitu ambacho hufanyika ni kufanya adjustment kwenye bog (kwenye matairi yake) unaweza kusema ni excel kinafanywa adjustment kutanua matairi yakae kwenye muundo wa reli mnaotaka kama sgr au kupunguza ili iendane na reli ya zamani au cape gauge. Hayo ya sgr itakapofika wakati yanatakiwa kutumika, adjustment hiyo itafanyika ili yafit kwenye sgr.
Na hiyo adjstment haihitaji hata wataalamu kutoka nje.
wakiyapeleka moshi unijulishe. nimekaa paleeeMoshi tutafaidi Christmas na New year
mabehewa yote yanaweza kutumika kwenye reli yo yote iwe ile ya zamani, cape gauge (kama tazara) au sgr. Hata haya ya reli ya zamani yalipoletwa katikati ya miaka ya 1970 huko yalikotoka yalikuwa yanatumika kwenye gauge pana tofauti na yetu.
Kitu ambacho hufanyika ni kufanya adjustment kwenye bog (kwenye matairi yake) unaweza kusema ni kwenye exel kunafanywa adjustment kutanua matairi yakae kwenye muundo wa reli unaotaka kama sgr au kupunguza ili iendane na reli ya zamani au cape gauge. Hayo ya sgr itakapofika wakati yanatakiwa kutumika, adjustment hiyo itafanyika ili yafit kwenye sgr.
Na hiyo adjstment haihitaji hata wataalamu kutoka nje. Washua wa ndani tu walioko karakana ya reli morogoro watafanya
No hakuna mchezo wowote. Siku ile yanapokelewa mabehewa 'mapya' 14 ya SGR, pia yalipokelewa mabehewa used 35 ya standard gauge railway, jumla ni mabehewa 49.Kuna kitu hapa natamani nikifahamu yawezekana uelewa wangu mdogo.
Wakati naelekea zangu Kariakoo maeneo ya Puma niliona mabehewa yale niliyaona kwenye TV na mitandao ya kijamii yakiwa juu ya reli MGR (Reli ya Kigoma-Mwanza)Kama ni kweli yale ndio ya kisasa imekaaje yamefit kwenye hio reli?
Ikumbukwe reli ya SGR ni pana kuliko reli ya zamani au hizo ekseli zake zinatanuka kupungua!
Ila naona kuna mchezo tunachezewa na hawa viongozi wetu.
USED ? kwa bei ile ya bilioni mbili kwa behewa...hakuna explanation zaidi ya upigaji hapoNo hakuna mchezo wowote. Siku ile yanapokelewa mabehewa 'mapya' ya SGR, pia yalipokelewa mabehewa used 46 ya standard gauge railway.
P
Kwa hio unataka kuniambia kuwa yalikuwa yanatumika kwenye reli ya MGR hivyo baada ya kununuliwa inabidi yafanyiwe adjustment ili kuendana na reli tuliojenga.mabehewa yote yanaweza kutumika kwenye reli yo yote iwe ile ya zamani, cape gauge (kama tazara) au sgr. Hata haya ya reli ya zamani yalipoletwa katikati ya miaka ya 1970 huko yalikotoka yalikuwa yanatumika kwenye gauge pana tofauti na yetu.
Kitu ambacho hufanyika ni kufanya adjustment kwenye bog (kwenye matairi yake) unaweza kusema ni kwenye exel kunafanywa adjustment kutanua matairi yakae kwenye muundo wa reli unaotaka kama sgr au kupunguza ili iendane na reli ya zamani au cape gauge. Hayo ya sgr itakapofika wakati yanatakiwa kutumika, adjustment hiyo itafanyika ili yafit kwenye sgr.
Na hiyo adjstment haihitaji hata wataalamu kutoka nje. Washua wa ndani tu walioko karakana ya reli morogoro watafanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa ulivyo siriazi kama uiongelei TazaniaKwa hio unataka kuniambia kuwa yalikuwa yanatumika kwenye reli ya MGR hivyo baada ya kununuliwa inabidi yafanyiwe adjustment ili kuendana na reli tuliojenga.
Sasa swali la kujiuliza ina maana huko kiwandani hawakupeleka specification za reli yetu ikoje? Ili ikifika Bandarini ipachikwe kwenye reli yake? .Kuna haja gani ya kununua kitu kipya alafu uje ufanye modification kabla ya kutumia
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
AmenEeh Mungu, mafisadi wa nchi hii beba wewe uwatwae na uwapeleke wanakostahili
Ilistahili wafe wao, lakini wanaugua na wanyonge ndio wanakufa!
Wanyonge wanakula, lakini wao ndio wanashiba!
Mwenyezi Mungu, uwachukue kila mmoja Kwa utakavyo wewe! Amen
Kuna option ya kuongeza upana wa matairi ya treni au kupunguzaKuna kitu hapa natamani nikifahamu yawezekana uelewa wangu mdogo.
Wakati naelekea zangu Kariakoo maeneo ya Puma niliona mabehewa yale niliyaona kwenye TV na mitandao ya kijamii yakiwa juu ya reli MGR (Reli ya Kigoma-Mwanza)Kama ni kweli yale ndio ya kisasa imekaaje yamefit kwenye hio reli?
Ikumbukwe reli ya SGR ni pana kuliko reli ya zamani au hizo ekseli zake zinatanuka kupungua!
Ila naona kuna mchezo tunachezewa na hawa viongozi wetu.
Umeandika nini hapa Paskali?No hakuna mchezo wowote. Siku ile yanapokelewa mabehewa 'mapya' ya SGR, pia yalipokelewa mabehewa used 46 ya standard gauge railway.
P