Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,012
Pompeo siku hizi halali anaiwaza Tanzania
Kila kinachofanyika Tanzania anakifatilia
Anafuatilia kila hotuba za Rais wetu mpendwa pengine wanalazimika kujifunza hadi kiswahili ili wajue atasema nini.
Miaka ya katikati Tanzania tulipoteza ushawishi wetu wa kisiasa duniani ila toka Rais Magufuli ameingia madarakani mambo yamebadilika.
Bahati nzuri Rais wetu hana muda wa kwenda huko anatumikia Watanzania waliomchagua kwa mamilon ya kura.
Ikumbukwe Marikani huingiza Zaidi ya doller bilion tano kila mwaka kutokana na safari za viongozi wa Africa kwenda Marekani.
Ndani ya miaka minne Magufuli kutokwenda kule kinamuumiza kichwa pompeo
Kama Iran wameweza kumthibiti bwanyenye Kwanini sisi tumuogope?
Marais wa Africa wangekuwa kama Magufuli hakika bara la Africa lingeanza kupokea heshima inayostahili
Haiwezekani watu wanaiba raslmali zetu na sisi tunazindikiza huko kwa kutapanya mabilion ya walipa kodi.
Pompeo nenda kwa step,Tanzania ya leo sio ya jana
Rais Magufuli usitishike na hawa Mabeberu sisi Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia mia moja.
Baada ya pompeo kugonga mwamba huko Venezuela na north korea. Sasa anaanza kuleta janja janja kwetu, hatutakubali.
Tena mimi simwogopi kwenye ukurasa wake wa Twitter huwa nampa ukweli wake.
Kila kinachofanyika Tanzania anakifatilia
Anafuatilia kila hotuba za Rais wetu mpendwa pengine wanalazimika kujifunza hadi kiswahili ili wajue atasema nini.
Miaka ya katikati Tanzania tulipoteza ushawishi wetu wa kisiasa duniani ila toka Rais Magufuli ameingia madarakani mambo yamebadilika.
Bahati nzuri Rais wetu hana muda wa kwenda huko anatumikia Watanzania waliomchagua kwa mamilon ya kura.
Ikumbukwe Marikani huingiza Zaidi ya doller bilion tano kila mwaka kutokana na safari za viongozi wa Africa kwenda Marekani.
Ndani ya miaka minne Magufuli kutokwenda kule kinamuumiza kichwa pompeo
Kama Iran wameweza kumthibiti bwanyenye Kwanini sisi tumuogope?
Marais wa Africa wangekuwa kama Magufuli hakika bara la Africa lingeanza kupokea heshima inayostahili
Haiwezekani watu wanaiba raslmali zetu na sisi tunazindikiza huko kwa kutapanya mabilion ya walipa kodi.
Pompeo nenda kwa step,Tanzania ya leo sio ya jana
Rais Magufuli usitishike na hawa Mabeberu sisi Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia mia moja.
Baada ya pompeo kugonga mwamba huko Venezuela na north korea. Sasa anaanza kuleta janja janja kwetu, hatutakubali.
Tena mimi simwogopi kwenye ukurasa wake wa Twitter huwa nampa ukweli wake.
