Mabati yanauzwa bei poa

Bussiness Man

JF-Expert Member
Mar 9, 2016
213
244
Habari za kutwa

. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni nyekundu isio kali sana,na bei yake ni sh 30,000 kwa bati moja. Ni mabati yanayofahamika kama mabati ya south Africa.
Nitafikisha unapoyahitaji Kwa maeneo ya Dar.

Bei ya dukani wanauza wanauza 12,000 Kwa Mita moja.

Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa namba 0774560000
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    10.7 KB · Views: 103
Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni nyekundu isio kali sana,na bei yake ni sh 32,000 kwa bati moja. Ni mabati yanayofahamika kama mabati ya south Africa.
Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa namba 0774560000
 
Upo Ligula au Iloganzala? Nataka kujua ili nijue gharama ya kuyasfirisha huku site Pemba.
 
Upo Ligula au Iloganzala? Nataka kujua ili nijue gharama ya kuyasfirisha huku site Pemba.

Ndugu Nduka,
nice name. Mimi nipo Dar karibu sana, tunaweza tukaongea zaidi Kama uko sirias Na utapata kipaumbele zaidi kwakua wewe ni mchangiaji wa mwanzo.

Karibu sana.
 
Ndugu Nduka,
nice name. Mimi nipo Dar karibu sana, tunaweza tukaongea zaidi Kama uko sirias Na utapata kipaumbele zaidi kwakua wewe ni mchangiaji wa mwanzo.

Karibu sana.
Dar Kubwa navyosikiaga Businesman, wapi haswa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom