Hallo. Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni blue na bei yake ni sh 40,000 kwa bati moja. Ni mabati yanayofahamika kama mabati ya south Africa.
Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa namba ya simu 0654-197369
Karibuni
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni blue na bei yake ni sh 40,000 kwa bati moja. Ni mabati yanayofahamika kama mabati ya south Africa.
Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa namba ya simu 0654-197369
Karibuni