GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Naomba nisaidiwe taarifa zifuatazo:
1. Mabasi yanatoa huduma ya usafiri kutoka Tanzania, na makisio ya nauli kama itawezekana. Nikipata namba zao za simu ni ni vizuri zaidi!
2. Safari yangu itaanzia Mwanza. Nitapaswa kwenda kupandia basi Dar Es Salaam au Tunduma?
3. Itachukua muda gani kutoka Tunduma hadi Harare?
4. Ipi namna bora, kupanda basi la moja kwa moja kutoka Tanzania hadi Harare (naamini yapo) au kwenda kupandia upande wa Zambia?
N.B: Hiyo ni safari yangu ya kwanza Zimbabwe. Kama kuna taarifa zaidi za kunisaidia naomba nisaidiwe.
Asante.
1. Mabasi yanatoa huduma ya usafiri kutoka Tanzania, na makisio ya nauli kama itawezekana. Nikipata namba zao za simu ni ni vizuri zaidi!
2. Safari yangu itaanzia Mwanza. Nitapaswa kwenda kupandia basi Dar Es Salaam au Tunduma?
3. Itachukua muda gani kutoka Tunduma hadi Harare?
4. Ipi namna bora, kupanda basi la moja kwa moja kutoka Tanzania hadi Harare (naamini yapo) au kwenda kupandia upande wa Zambia?
N.B: Hiyo ni safari yangu ya kwanza Zimbabwe. Kama kuna taarifa zaidi za kunisaidia naomba nisaidiwe.
Asante.