WanaJF,
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa mabasi haya yalisimamishwa na SUMATRA kufanya shughuli zake njia ya Dar - Mbeya, sasa na hii ajali ya hili basi jana kugongana na Prado maeneo ya Al Jazeera, Iringa, imekuwaje? Ina maana yameruhusiwa kuendelea na usafirishaji?
Mwenye taarifa anihabarishe, niweke kumbukumbu sawasawa.
Nasikia PM wetu ana share kwenye hayo mabasi...
Mkuu ajali imetokea jana eneo la Mtandika,Sumry iligongana uso kwa uso na Prado ya Dr specialist wa macho hospitali ya rufaa Mbeya, dereva wa basi alikuwa ana "overtake" lori mahala pana kona ndo akakutana na Prado iliyokuwa inatokea mbeya kueleka Dar. Picha hizi hapa chini:View attachment 41107View attachment 41108View attachment 41109
Picha ya katikati ndo prado na dereva(Dr) anaonekana kashazimika akiwa kafunga na mkanda wake. Hizo ndo Sumry