WanaJF,
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa mabasi haya yalisimamishwa na SUMATRA kufanya shughuli zake njia ya Dar - Mbeya, sasa na hii ajali ya hili basi jana kugongana na Prado maeneo ya Al Jazeera, Iringa, imekuwaje? Ina maana yameruhusiwa kuendelea na usafirishaji?
Mwenye taarifa anihabarishe, niweke kumbukumbu sawasawa.