Mabasi Mapya ya Mwendokasi ya MOFAT yatua Dar

Mabasi Mapya ya Mwendokasi ya MOFAT yatua Dar

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,249
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
IMG-20250714-WA0040.jpg

KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
 
Kijani sio rangi ya CCM bro.

Angalau hawa wako serious , wale waarabu wa kuanzia Kimara wako kimya.
 
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
View attachment 3405778
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
takataka tupu , hakuna kitu maana wanajua hata wasipotenda watahonga rushwa and they sail through
 
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
View attachment 3405778
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
kwa hiyo watayapaki palepale yaliwe na maji? pia, hivi rangi ya njano kwao ni mbaya sana?
 
Mimi samia kitendo cha kufuta makanisa, watu zaidi ya milioni wanazuiwa haki yao ya kumwabudu Mungu wa Wakristo, kimenikera na nitampiga kwa kila kitu. na yeye hata haoni kama amegusa sehemu mbaya.
 
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
View attachment 3405778
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
Kwa nini yana rangi ya.kijani?
 
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
View attachment 3405778
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
Kwa nini yana rangi ya.kijani?
 
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
View attachment 3405778
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
polepole tu kika kitu kitakaa sawa,maendeleo ni hatua
 
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
View attachment 3405778
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
Kwa hiyo wameamua kuleta rangi ya Oktoba ✅️
 
Kuleta mabasi ni kitu kingine, kuyaweka barabarani mtasubiri sana.
Mnakumbuka kuna yale mengine kidogo tu yaozee Ubungo icd.
 
Back
Top Bottom