mabasi kutoka mikoani yakwama mbezi

mabasi kutoka mikoani yakwama mbezi

mpinga shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,234
Reaction score
959
Mabasi kutoka mikoani yamekwama eneo la mbezi kwa zaidi ya masaa matatu sasa.
Inadaiwa kuna ajali ila watendaji wa jiji na serikali kwa ujumla bado hawajarejea kutoka kwenye sikukuu za krismas hivyo hakuna dalili ya wasafiri kutoka hapo mapema.
kuna abiria waliotoka Arusha tangu saa 12 asubuhi bado wapo hapo.
Pikipiki ziko busy kuvusha watu.
source ni waathirika waliokwama hapo.
 
Poleni sana wote hapo. Naamin wahusika wapo humu watakuwa wamekusikia watakuja kutatua tatizo soon.
 
Tangu saa kumi na mbili na nusu tulipoanza foleni kibamba ni masaa 2 yamepita hatujafika temboni .pata picha watoto wanavyochoka
 
Tangu saa kumi na mbili na
nusu tulipoanza foleni kibamba ni masaa 2 yamepita hatujafika temboni
.pata picha watoto wanavyochoka

Mkuu,we acha tu hapa nimebadili mikao yote lakini wapi,naelekea moro tokea saa 12 jioni ndo kwanza nipo kimara,kweli nimeamini bongo hakuna watendaji,yaani issue ndogo kama hii inaharibu utaratibu mzima wa usafiri ktk morogoro road,tunatia sana kinyaa,sijui nitafika moro alfajiri!?
 
Poleni wapendwa, vipi ufumbuzi umepatikana au bado mnasota?
 
poleni sana mimi nilipita hapo saa tisa na dar express nikakaa nusu saa licha ya kuwa traffic walijazana hapo pasipo uvumbuzi na issue ni hii hapo kibamba darajani

DSC00766.JPG

na hali ilishakuwa mbaya mno

DSC00768.JPG
 

Attachments

  • DSC00766.JPG
    DSC00766.JPG
    928.6 KB · Views: 52
Back
Top Bottom