Mabango ya Lowassa 2015 sio Kampeni

Mabango ya Lowassa 2015 sio Kampeni

bnf

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
218
Reaction score
79
Mimi ni raia nisio na chama


Napenda kuuliza wanasheria wanisaidie hivi haya mabango ya Lowassa 2015 yamaweza kuitwa kama ni kuanza kampeni kabla au lah?
 
na magufuli anavyotembezwa mikoani sio kampeni?

Wakati mwingine mwachage kujitoa ufahamu, ccm mnatia haibu sana,
 
mi ni raia nisio na chama


napenda kuuliza wanasheria wanisaidie hivi haya mabango ya LOWASA 2015 yamaweza kuitwa kama ni kuanza kampeni kabla au lah

Hofu ya nini wewe gamba... Na bado kampeni zikianza ndio Magufuli atasaulika kabisa midomoni mwa watu
 
Subiri dawa iwaingie vizuri hayo night manyunyu mtalia sana magamba mvua ikianza
 
mi ni raia nisio na chama


napenda kuuliza wanasheria wanisaidie hivi haya mabango ya LOWASA 2015 yamaweza kuitwa kama ni kuanza kampeni kabla au lah

ya ukawa au ya ccm?
 
Hujaona mijimama mishangingi imevaa midera iliyoandikwa CHAGUA MAGUFULI?
 
hv kwa nn k2 kikifanywa na upinzani inaonekana kosa mfano ccm walivyotoka dodoma wakaanza kampeni wakimtembeza maguful tena waki2mia rasilimali za taifa kama magari na police wanaolipwa kwa pesa ya kodi kwa ajili ya matumiz ya chama kanga kbao wanatumia mpaka television ya taifa kwa maslai ya chama tena mbaya zaid kila mgombea wa nafasi ya urais kutoka ccm ndio chaguo la mungu utadhan mungu huyo ni mungu wa lumumba au wa mussa na daudi? leo wamekamatwa na rushwa bt cjaona hata mmoja akipelekwa mahakamani ingekuwa ukawa ndo wamekamatwa wangejuta leo nashawishika kusema kama lowassa angekuwa mchafu asingeweza kuhama chama coz vyama vng vya afrika uktoka 2 jiandae kwenda mahakamani mfano mzr ni julious marema wa S.A leo maguful anaulinzi mpaka kijijini kwake tena ulinzi si green guard ni police na tiss tena mmoja wa walinz wake namfaham vzr sana sasa kama ulinz ni haki ya wote mbona vyama vngne avpewi? au ni special kwa ccm 2
 
Back
Top Bottom