Mabango ya Freemasons sehemu tofauti tofauti

Mabango ya Freemasons sehemu tofauti tofauti

prosper cliff

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
662
Reaction score
701
Wana jf Leo nimewaza kitu why kila kona kuna mabango ya mawakala wa Freemasons na namba zao za simu `„je nikweli kuna watu wamefanikiwa kupitia haya mabango kujiunga na Freemason??
Na je kama sio wakweli serikali iko wapi kuwashughulikia matapeli hao ?
Hebu naombeni mchango wa mawazo Yenu pengne Mimi ndio sijaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jf Leo nimewaza kitu why kila kona kuna mabango ya mawakala wa Freemasons na namba zao za simu `„je nikweli kuna watu wamefanikiwa kupitia haya mabango kujiunga na Freemason??
Na je kama sio wakweli serikali iko wapi kuwashughulikia matapeli hao ?
Hebu naombeni mchango wa mawazo Yenu pengne Mimi ndio sijaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wanalipia kodi nzuri
 
Usiumize kichwa humu utapata mawazo na sio majibu.
Chukua hizo namba piga na fuata maelekezo then lete mrejesho na sisi tujue kama ni kweli au ni uzushi.Allah akbar
 
Usiumize kichwa humu utapata mawazo na sio majibu.
Chukua hizo namba piga na fuata maelekezo then lete mrejesho na sisi tujue kama ni kweli au ni uzushi.Allah akbar
Santana niliwapigia wakaniomba 45000 halafu na namba ya account bank kisha majina matatu pamoja na umri Wang halfu wanasema ndani ya masaa 3 utawekewa kwenye account yako million 60 dah hapo ndipo niliposhituka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom