prosper cliff
JF-Expert Member
- Jan 19, 2017
- 662
- 701
Wana jf Leo nimewaza kitu why kila kona kuna mabango ya mawakala wa Freemasons na namba zao za simu `„je nikweli kuna watu wamefanikiwa kupitia haya mabango kujiunga na Freemason??
Na je kama sio wakweli serikali iko wapi kuwashughulikia matapeli hao ?
Hebu naombeni mchango wa mawazo Yenu pengne Mimi ndio sijaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na je kama sio wakweli serikali iko wapi kuwashughulikia matapeli hao ?
Hebu naombeni mchango wa mawazo Yenu pengne Mimi ndio sijaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app