naunga mkono hoj!kama hutajali Allex.....naomba urudishe ile avatar ya mwanzo......
Lakini alikuwa hasomi gazeti while amekupa mgongo.....mhhhh!!lol....hiyo ya wife of future nakumbuka sijui nilii apply wakati wife yupo pale regency hospital anagonjwa.......
loh........kazi kwelikweli!