Kutokana na uanzishwaji wa VAT katika muda wa maongezi, imekuwa hauna uwezo tena wa kununua vocha na kuweza kujiunga moja kwa moja vifurushi vya mitandao. Mfano ukinunua vocha ya 500 ukiingiza inakatwa, hivyo haiwi 500 tena wakati vifurushi vya mitandao bado vipo vilevile 500, 1000 nakadharika.
Hivyo, kwanini mitandao ya simu isiendane na wakati kwa kuweka vifurushi vinavyoendana na thamani ya vocha inayobaki kwa mteja baada ya kukatwa VAT? Mfano kifutushi cha miatano sasa kiwe 400, ila wapunguze kama ni dakika, mb, sms Ili kuondoa usumbufu.
Hivyo, kwanini mitandao ya simu isiendane na wakati kwa kuweka vifurushi vinavyoendana na thamani ya vocha inayobaki kwa mteja baada ya kukatwa VAT? Mfano kifutushi cha miatano sasa kiwe 400, ila wapunguze kama ni dakika, mb, sms Ili kuondoa usumbufu.