whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,758
- 8,900
Iyo 32mbs unaunga bando ya milioni ngapi?Vodacom wanakupa 8mb/s tena kwenye 4G?😳😳😳 Sasa kwenye 2.5G yaani E itakuwaje si 0mb/s.
Halotel napata hivi kwenye 3G na 4G, mara nyingi huwa siwashi kabisa 4G kwenye simu yangu, sababu speed ya 3G inanitosha kabisa, speed ya 4G inamaliza tu chaji!View attachment 2326045 na 4G
View attachment 2326046