Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,445
Simu za mkononi, Television Receiver ,Radio, Computer/Laptop ni baadhi ya vyombo tunavyotumia kupata na kupashana habari
Ukifuatilia ubunifu unaoendelea utaona kadiri siku zinavyokwenda imekuwa sometime hata kazi kuelezea tofauti ya chombo kimoja na kingine. Ni kama vina merge.
Mfano
Zamani kulikuwa na tofauti za wazi za uwezo, na majukumu katika computer na simu. Lakini siku hizi simu za kisasa zinaweza kufanya majukumu yanayoweza kufanywa na kompyuta. Tofauti kubwa iliyopo ni uwezo. Lakini ubunifu unavyoendelea uwezo wavifaa vya mobile unazidi kuwa mkubwa mwaka hadi mwaka
Kwa wenzetu pia Tofauti ya TV na Kompyuta inazidi kupungua sababu Nchi za ulaya mtu anaweza kungalia kipindi wakati kinarushwa kwa kutumia kompyuta mradi tu iwe connected na internet. Vile vile kuna vifaa kam TV tuner vikiwekwa kwenye Kompyuta basi basi kompyuta hiyo inaweza kuitwa TV pia.
Kwa kutumia kompyuta iliyounganishwa na internet mtu unaweza kusikiliza baadhi ya vituo vya radio vikirusha matangazo moja kwa moja. Radio pekee Tanzania nayojua ni MediaPlayer
Simu za kisasa pia zina kuja na feature ya kumuwezesha mtumiaji kusikiliza radio au kungalia TV. kwa hiyo mobile nyingi ni radio.
Magazeti yanatoa habari ambazo sometime si tu zimepitwa na muda lakini zinapatikana tayari kwenye internet au Radio au Television
Je kwa style hii inawezekana Miaka ya mbele
Sijui great thinkers mnasemaje kuhusu ubunifu, maendeleo na wapi madhani tunakwenda kusu hivi vifaa.
Ukifuatilia ubunifu unaoendelea utaona kadiri siku zinavyokwenda imekuwa sometime hata kazi kuelezea tofauti ya chombo kimoja na kingine. Ni kama vina merge.
Mfano
Zamani kulikuwa na tofauti za wazi za uwezo, na majukumu katika computer na simu. Lakini siku hizi simu za kisasa zinaweza kufanya majukumu yanayoweza kufanywa na kompyuta. Tofauti kubwa iliyopo ni uwezo. Lakini ubunifu unavyoendelea uwezo wavifaa vya mobile unazidi kuwa mkubwa mwaka hadi mwaka
Kwa wenzetu pia Tofauti ya TV na Kompyuta inazidi kupungua sababu Nchi za ulaya mtu anaweza kungalia kipindi wakati kinarushwa kwa kutumia kompyuta mradi tu iwe connected na internet. Vile vile kuna vifaa kam TV tuner vikiwekwa kwenye Kompyuta basi basi kompyuta hiyo inaweza kuitwa TV pia.
Kwa kutumia kompyuta iliyounganishwa na internet mtu unaweza kusikiliza baadhi ya vituo vya radio vikirusha matangazo moja kwa moja. Radio pekee Tanzania nayojua ni MediaPlayer
Simu za kisasa pia zina kuja na feature ya kumuwezesha mtumiaji kusikiliza radio au kungalia TV. kwa hiyo mobile nyingi ni radio.
Magazeti yanatoa habari ambazo sometime si tu zimepitwa na muda lakini zinapatikana tayari kwenye internet au Radio au Television
Je kwa style hii inawezekana Miaka ya mbele
- Kifaa kinaitwa radio kitapotea majumbani na kuwa msamiati?
- Tukaona hata TV receiver zinafungiwa MAC address na kuwa na uwezo wa kuwa na IP address hivyo kuweza kuunganishwa na internet moja kwa moja?
- Tukaona TV zenye USB port a kuziwezesha akuungnishwana vifaa kama keyboard na hivyo mtu kuwana uwezo wa kufanya kazi kwenye screen kubwa akiwa nyumbani?
- Huduma ya kuuza au kununua magaeti ikafanyika online kwa watu kununa au kusbscribe soft copy ya magazeti ?
- Itakuwa compulsory TV receiver kuwa integrated na Media player kama DVD/Blue ray disc
Sijui great thinkers mnasemaje kuhusu ubunifu, maendeleo na wapi madhani tunakwenda kusu hivi vifaa.