Wakuu ni kweli huu ndio wakati sahihi wa kufanya mabadiliko..Lakini CCM ina mbinu nyingi za kudhoofisha harakati hizi,wafanyakazi wote vikundi vya usalama kuanzia Askari Jeshi,Askari Polisi,Askari Magereza na Uhamiaji kura zao zimewekwa moja kwa moja CCM,Juzi Kuruta wametoka CCP na tayari kura zao zimeshawekwa CCM..Goli la mkono hili.