acha uchonganishi ITV wako hivyo hivo kuanzia kampein zimeanza.jamani kamati ya chadema si mpo humu wengi ebu teteeni na hili jamani.Nimekuwa nikifuatilia ITV news daily nimegundua toka liibuke suala la mengi na ubambikaji wa madawa kwa motto wake coverage ya CHADEMA katika TV( leo news za mkutanomkule Kagera kuwa za kwnza na kuonyesha Nyomi la watu) yake na Magazeti(Nipashe kutoa picha na maelezo juu ya utafiti wa TCIB) yake imeongezeka
MY TAKE
Naona ameona mafisadi sio wa kuwakumbatia na anajua fika mpinzani wake ana support ya serikali ivyo kuingoa serkali husika ni jambo la Mbolea.
Keep it up Mzee Mengi wape vijana wa kazi more coverage ili serikali ya kidhalimu ingoke madarakani
Wanapokesea ni kumuita JK Dakta.