MABADILIKO BILA KUJISHUGULISHA LABDA UPAKE KAROLAITI:
Mabadiliko ya kweli kwa mustakabali wa nchi yetu yataletwa na sisi wananchi wenyewe kwa kufanya juhudi kubwa za kazi huku tukiongozwa na chama makini,kiongozi mchapakazi,mfuatiliaji,muadilifu na mzalendo:Hakuna mabadiliko ya kweli yatakayoletwa ktk nchi hii kwa ubabaishaji,kwa sera za kumtoa babu seya au watuhumiwa wa ugaidi!!Mabadiliko bila kujishugulisha labda upake karolite!CCM oyeee
Mabadiliko ya kweli kwa mustakabali wa nchi yetu yataletwa na sisi wananchi wenyewe kwa kufanya juhudi kubwa za kazi huku tukiongozwa na chama makini,kiongozi mchapakazi,mfuatiliaji,muadilifu na mzalendo:Hakuna mabadiliko ya kweli yatakayoletwa ktk nchi hii kwa ubabaishaji,kwa sera za kumtoa babu seya au watuhumiwa wa ugaidi!!Mabadiliko bila kujishugulisha labda upake karolite!CCM oyeee