Kimepoteza kwa nguvu ya kuminywa na kupigwa kila kukicha.Ujue chama kimepoteza relevance mkuu.
Kimepoteza kwa nguvu ya kuminywa na kupigwa kila kukicha.Ujue chama kimepoteza relevance mkuu.
Qm mako
Mbona wanajulikana.Kweli wewe Quinine imekupofusha. Unafikiri, utendaji kazi wa idara hiyo ni wakuona kwa macho yako ya nyama. Unajidanganya.
Waswahili tuna msemo wetu unasema "ADUI YAKO MUOMBEE NJAA"If you are really stronger, why would wish your enemy to die???
Mbona wanajulikana
Chadema imeweka "Clean sheet"Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama.
Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.
Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
Wazee wa tunguri mnashidaNgoja nianze kumwaga kamati kuu imeteua watu wawili kuingia kamati kuu nyalandu na ole sosopi.Pili Chadema imejiltoa haitashiriki uchaguzi wa marudio.Imewapa onyo wabunge watatu na kuwatishia kuwafukuza chama.Imewataka lema na meya Jakob waende kukanusha kupigana kwao .kikao cha Jana kilivunjika bila makubaliano kwenye mambo kadhaa siweki hapa ila Jana kulikuwa cha moto hasa.Wanaendelea kuwashana Leo.Jana kuficha aibu ndio walikuja na kale katamko ka kutaka wabunge wajitoe michezo EALA .Kuna makundi Ndani ya Chadema yanavutana kikaoni kuna kundi LA slaa,Lowasa na mbowe.Wana mvutano mkubwa kikaoni.Sumaye pia naye ana kikundi chake ambacho kinajidai hakina upande kikaoni
Pathetic, ndio mmefikia kujadili hoja hizi na kujisifia. Hatari sana!
Death is hovering over chadema.
Tuition:Wazee wa tunguri mnashida
Wewe hiyo ndo furaha yako?Ujue chama kimepoteza relevance mkuu.
Yehodaya ndiye sangoma wa ccm, amekaa wazi mchana njia panda kupiga ramli. Utakufa mjinga wewe.Ngoja nianze kumwaga kamati kuu imeteua watu wawili kuingia kamati kuu nyalandu na ole sosopi.Pili Chadema imejiltoa haitashiriki uchaguzi wa marudio.Imewapa onyo wabunge watatu na kuwatishia kuwafukuza chama.Imewataka lema na meya Jakob waende kukanusha kupigana kwao .kikao cha Jana kilivunjika bila makubaliano kwenye mambo kadhaa siweki hapa ila Jana kulikuwa cha moto hasa.Wanaendelea kuwashana Leo.Jana kuficha aibu ndio walikuja na kale katamko ka kutaka wabunge wajitoe michezo EALA .Kuna makundi Ndani ya Chadema yanavutana kikaoni kuna kundi LA slaa,Lowasa na mbowe.Wana mvutano mkubwa kikaoni.Sumaye pia naye ana kikundi chake ambacho kinajidai hakina upande kikaoni
Hamshindi Gufuli na bashite, hakuna walilolianzisha likafanikiwa.Itakuwa Nyalandu ameshindwa kufanya kazi yake aliyotumwa...,huyu jamaa kila task anayopewa anafeli sijui ana mikosi.
Zamani kilikuwa kikiminywa ndo kinazidi kuwa relevant kwa UMMA.Kimepoteza kwa nguvu ya kuminywa na kupigwa kila kukicha.
Hiyo inamaanisha kamati kuu imekuwa bubu...imepigwa na butwaa...imepata ganziKama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama.
Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.
Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
