Maazimio ya kamati kuu ya CHADEMA

Maazimio ya kamati kuu ya CHADEMA

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,149
Reaction score
56,458
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama.

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
 
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.

Ujue chama kimepoteza relevance mkuu.
 
Maazimio ni kuwataka Wabunge wao wajitoe kwny Timu ya Netball ya Timu ya Bunge!

Hata Kipovu anajua kabisa Jahazi la Chagadema limetoboka Tanga lake, uelekeo wake ni uelekeo wa Upepo
Bila maazimio wananchi wafanye nn ktk wakati huu wa sisa kiza?
 
bado hawajakubaliana wamuuze nani kati ya Mnyika ama Kubenea..

ila usajili wa Mwigulhu ama Nape bado unawachanganya kamati kuu
 
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
Endelea kujitia faraja
 
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.

Kuna nini cha kufuatilia CHADEMA?
 
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
Pathetic, ndio mmefikia kujadili hoja hizi na kujisifia. Hatari sana!
Death is hovering over chadema.
 
Kwa kweli cha kimevua gamba sasa kinahitaji maazimio makini yatakayo kipeleka chama mbele. Inawezekana wakati si muafaka hasa kwa pepeto linaloendelea lakini ingependeza sana kama uongozi Chadema ungebadilika. These are times that need the party to be militant and have militant leadership. I don't see a militant and vengeful party with Mashinji na Mbowe holding sway.

I really hope the official statement will be a strong one with specific action points including why Mbowe na Mashinji should stay put or quit!

Viva Chadema!
 
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
Ngoja nianze kumwaga kamati kuu imeteua watu wawili kuingia kamati kuu nyalandu na ole sosopi.Pili Chadema imejiltoa haitashiriki uchaguzi wa marudio.Imewapa onyo wabunge watatu na kuwatishia kuwafukuza chama.Imewataka lema na meya Jakob waende kukanusha kupigana kwao .kikao cha Jana kilivunjika bila makubaliano kwenye mambo kadhaa siweki hapa ila Jana kulikuwa cha moto hasa.Wanaendelea kuwashana Leo.Jana kuficha aibu ndio walikuja na kale katamko ka kutaka wabunge wajitoe michezo EALA .Kuna makundi Ndani ya Chadema yanavutana kikaoni kuna kundi LA slaa,Lowasa na mbowe.Wana mvutano mkubwa kikaoni.Sumaye pia naye ana kikundi chake ambacho kinajidai hakina upande kikaoni
 
Ngoja nianze kumwaga kamati kuu imeteua watu wawili kuingia kamati kuu nyalandu na ole sosopi.Pili Chadema imejiltoa haitashiriki uchaguzi wa marudio.Imewapa onyo wabunge watatu na kuwatishia kuwafukuza chama.Imewataka lema na meya Jakob waende kukanusha kupigana kwao .kikao cha Jana kilivunjika bila makubaliano kwenye mambo kadhaa siweki hapa ila Jana kulikuwa cha moto hasa.Wanaendelea kuwashana Leo.Jana kuficha aibu ndio walikuja na kale katamko ka kutaka wabunge wajitoe michezo EALA .Kuna makundi Ndani ya Chadema yanavutana kikaoni kuna kundi LA slaa,Lowasa na mbowe.Wana mvutano mkubwa kikaoni.Sumaye pia naye ana kikundi chake ambacho kinajidai hakina upande kikaoni
Mko makini kufuatilia ya CHADEMA mmeacha kiki za Mkiti wenu huko Dodoma kwa vile mnajua hana jipya zaidi ya kupokea makapi toka upinzani.
 
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
Itakuwa Nyalandu ameshindwa kufanya kazi yake aliyotumwa...,huyu jamaa kila task anayopewa anafeli sijui ana mikosi.
 
Kama hadi sasa bado hakuna tetesi wala fununu ya kilichojadiliwa basi nimeamini mamluki na wasaliti wameanza kupungua ndani ya chama

Pamoja na usalama wa taifa zaidi ya 50 kumwagwa kwenye hoteli ya Regency Park ili kujua kinachojaliwa bado waliishia kueneza propaganda za Lema na Jacob kupigana.

Kwa heri Patrobas Kitambi na team yako.
Unataka maazimio gani wakati mmeshapewa tamko la kususia michezo ya wabunge
Lile azimio la kutoa mawakili wa kumsaidia Mange kufunguliwa tena akaunti yake lilipingwa vikali na lowassa,likafa kibudu
 
Unataka maazimio gani wakati mmeshapewa tamko la kususia michezo ya wabunge
Lile azimio la kutoa mawakili wa kumsaidia Mange kufunguliwa tena akaunti yake lilipingwa vikali na lowassa,likafa kibudu
Pole, kwahiyo leo chakubanga kawaambia hayo ndiyo maazimio maana jana aliwaambia Lema kapigwa ngumi na meya.
 
Back
Top Bottom