Maaskofu Watoa Waraka Mzito

Maaskofu Watoa Waraka Mzito

Naona yule ambaye '' HAJAWAHI KUFUFUA HATA PANYA'' Hatambuliki kwenye umoja huo na wala hakualikwa
 
Viongozi wa dini kila j'mosi na j'2 mnapiga sadaka tu bila jasho,h ha ha ha aaaaa tulien hvy hvy maana mmeacha neno LA munhu na kuangukia mipasho
Munhu Mungu

Hapo mipasho iko wapi?
 
Hapo kwenye kuombea viongozi kwangu mimi pagumu sababu wanamiungu yao. Wanawadharau wanadamu wenzao. Labda kama watajirekebisha
Mimi ninawaombea lkn hicho ninachowaombea sasa
 
Waijuma kila siku wanaibada mara 5 ila hawatoi sadaka kama hao wengine
Hizo sadaka hao viongozi wa dini hawaendi majumbani mwa watu kukusanya kama TRA wanavyopita kwenye makampuni kukusanya kodi. Ni waumini wenyewe kwa hiari yao wanapeleka. Hakuna anayelazimishwa kutoa sadaka. Ni haki yao sehemu ya sadaka kutumika kwa mahitaji yao ya kibinadamu kwa sababu hawalipwi mishahara na serikali, hizo sadaka ndio zinatumika kuwalipa.
 
Hizo sadaka hao viongozi wa dini hawaendi majumbani mwa watu kukusanya kama TRA wanavyopita kwenye makampuni kukusanya kodi. Ni waumini wenyewe kwa hiari yao wanapeleka. Hakuna anayelazimishwa kutoa sadaka. Ni haki yao sehemu ya sadaka kutumika kwa mahitaji yao ya kibinadamu kwa sababu hawalipwi mishahara na serikali, hizo sadaka ndio zinatumika kuwalipa.
Ha ha ha hujajua wewe,,,,umeshawah kusikia Leo hatutoi sadaka? Kelele nying ni sadaka tu kutwa kucha,,, nasema kwa uzoef nilio nao juu ya kuwapiga watu hela maana nimefanya haya kwa vitendo....
 
Cc: Otorong'ong'o njoo uone jinsi ilivyo vyema na kupendeza wakristo kuongozwa na PHD Holders.
Naona wakatoliki wamegoma kusaini huo waraka sijui inaleta picha gani hii.
 
Sijaona tamko ndani ya waraka huo zaidi ya ushauri ambao utapuuzwa!

Ni heri angetamka Gwajima.
 
Hapo kwenye kuombea viongozi kwangu mimi pagumu sababu wanamiungu yao. Wanawadharau wanadamu wenzao. Labda kama watajirekebisha
Hakuna cha kuombea hapa, watu wanafiki, mniombee halafu katili kama hivyo! Achana na habari ya kuombewa, kila mmoja ajiombee! MIMI SIOMBI LABDA KAMA KUOMBA KWA SHETANI, HILO NITALIFANYA SIYO MUNGU
 
Naona yule ambaye '' HAJAWAHI KUFUFUA HATA PANYA'' Hatambuliki kwenye umoja huo na wala hakualikwa
Usibadiri topic; kama hujui uwe unauliza. CCT ni muungano wa baadhi ya makanisa na sio yote. Tanzania kuna vyama au umoja hu wa Kikristo, 1. Roman Cathoric yupo peka yake ndio hiyo wanaitaga TEC, then makanisa ya Ki protestant except Wasabato na wapentekoste wao wana hiyo CCT na ndio huo waraka wake tunausoma hapa then Wapentecoste nao wanacho chao kinaitwa PCT, Wasabato sijui. So Gwajima yeye kimsingi ana fall hapo kwa PCT na sio CCT. Usichanganye madesa mkuu.
 
Back
Top Bottom