Salaam wana jamvi,
Naomba kuuliza ili nipate kufahamu hivi haya maandishi ya kwenye magari ya kubebea wagonjwa 'AMBULANCE'
kuandikwa kwa kugeuzwa ni madoido au kuna sababu ya kuyaandika vile.mfano nimeona baadhi ya magri yakiandikwa kutoka kulia kuelekea kushoto na si kama tulivyozoea kutoka kushoto kuelekea kulia.
Mwenye ufahamu naomba anisaidie tafadhari.
Naomba kuuliza ili nipate kufahamu hivi haya maandishi ya kwenye magari ya kubebea wagonjwa 'AMBULANCE'
kuandikwa kwa kugeuzwa ni madoido au kuna sababu ya kuyaandika vile.mfano nimeona baadhi ya magri yakiandikwa kutoka kulia kuelekea kushoto na si kama tulivyozoea kutoka kushoto kuelekea kulia.
Mwenye ufahamu naomba anisaidie tafadhari.