Aliyesema mapenzi ni upofu hakukosea kabisa. Unaweza ukawa na mtu na yale anayokufanyia au hata unayoyaona, unahisi kabisa hapo hutakiwi. Lakini still unajipa moyo kwamba maybe siku moja kila kitu kitakuwa ok. Tatizo kubwa binadamu hatupendi kukubali ukweli hata pale tunapoona tunatendewa ndivyo sivyo. Hatutaki kuamini that hatutakiwi, jamani REJECTION hurts ndo maana watu tunakomaa tu kujipa mioyo.
Na kwa muda huo huwezi kuona kama unapoteza muda wako kupenda usipopendwaa, hadi siku roho wa Mungu kakushukia hadi ukaweza kuchapa leo ndo unaanza kujiona jinsi ulivyo mjinga na muda ulio upoteza.
So, It happens a lot
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums