piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Habari zenu wana MMU, samahani kwa kutowawekea picha maana nilishindwa kuipiga faster na kuogopa kichapo pia, nilikuwa natoka lunch nikapishana na baunsa mmoja aliyekuwa amevaa fulana yenye maandishi tata hata nikashindwa kumuelewa, mtu kama kiingilishi kinakuchenga si uulize maana ya maneno yanayokuwa yameandikwa kabla ya kununua? just imagine fulana ya njemba huyo ilikuwa imeandikwa I AM YOUR NEXT GIRLFRIEND, tafakari na chukua hatua .............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!