Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Jukwaa la kudanganyana.Wengine tunadanganyana tu hapa nimeshaona
Jukwaa la kudanganyana.Wengine tunadanganyana tu hapa nimeshaona
Jana nikiwa kazini mara nikamuona sharo-b mmoja katinga t-shirt yake iliyochorwa fuvu la mtu akiwa amechuchumaa kuonyesha ana-fart. Kuna maandishi yameandikwa
'SILENT BUT DEADLY'.
Ikanikumbusha t-shirt nyingine ya jamaa mmoja hapohapo kazini iliyokuwa imeandikwa
'FIFTEEN MEN ON DEADMAN'S CHEST' huku imechorwa vikaragosi 15 kwenye eneo lililosawa na kifua cha jamaa.
Sijui wanavaa wakijua ama inatokea tu.
weka uliyoona.