:help: Baadhi ya wanaharakati na wauguzi wakiwa na mabango yaliyokuwa na ujumbe wa kulaani kitendo cha kikatili alichofanyiwa
daktari huyo.
Wanaharakati nyie wanafiki wakubwa. Bei za bidhaa zinapanda kila siku na maisha ya wanyonge yanazidi kubana hamjawahi kuandamana, Albino wanachinjwa kila kukucha mmewaacha wajihangaikie wenyewe. Leo hii watu wanapoteza maisha majumbani kutokana na mgomo wa madaktari mnashangilia na kuonyesha ushindi eti kwa kujikusanya pale airport. Tanzania tuna activists vihiyo wasiojua wapi wasimame kutetea haki za wanyonge. They are simply mob mongers for popularity gains not real activists
Tanzania tuna activists vihiyo wasiojua wapi wasimame kutetea haki za wanyonge. They are simply mob mongers for popularity gains not real activists
Wanaharakati nyie wanafiki wakubwa. Bei za bidhaa zinapanda kila siku na maisha ya wanyonge yanazidi kubana hamjawahi kuandamana, Albino wanachinjwa kila kukucha mmewaacha wajihangaikie wenyewe. Leo hii watu wanapoteza maisha majumbani kutokana na mgomo wa madaktari mnashangilia na kuonyesha ushindi eti kwa kujikusanya pale airport. Tanzania tuna activists vihiyo wasiojua wapi wasimame kutetea haki za wanyonge. They are simply mob mongers for popularity gains not real activists[/QU kwa iyo unataka kutuambia kitu gani kutoka katika iyo insha yako?
Wee ndio BURE kabisa....yaaani mpaka dunia ya leo hii bado umelaza kend*e zako nyumbani ukisubiri 'mesiya' aje akutetee haki zako? Kalaga baho, subiri tu utetewe na kuendelea kulaumu wanajitahidi kukutetea bila ya hata kuungwa mkono nawe....sie tunajitetea wenyewe!