watanzania tu wabinafsi mno hawawezi andamana kwa kuwa hawana uelewa au ni wanufaika na huu mfumo.KAMA W ZAMBI MP WA MBOZI KAONGEA KWA HISIA KAPEWA KAJARIBIO KA KUSIGN KUTOKUWA NA IMAN NA PM UMEMWONA ALICHOKIFANYA?je wananchi wa mboz na tz yote ukiwaambia waandamane wataandamana?