Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
Jamani jamani! maandamano ya kuweza kuwastua mafisadi huwa hayapangwi ulizeni kote walikoweza kufanya hiyo kitu. Maandamano huwa yanakuja ghafla kutokana na khali itakayowachukiza wananchi na kuamua kusema basi. kama tunavyojua sisi huwa hatuchukii kabisa hata tufanywaje. Mimi nilidhani walipotukatia umeme tukashindwa kuona champion league dar yote moto ungewaka du majitu kimyaaaa hata kulalamika tu hakukuwepo. Kupanga maandamano ni sawa na kumpa mwanafunzi mtihani kabla unategemea apate zero!