Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mbeya-Picha na Matukio

Ukweli CHADEMA mmeishika pabaya Serikali ya Mh. J.K. Ata huruma no, pleeeeeaaaaaseeee!

CCM andoa magamba kiukweli, vinginevyo mmekwishaaaaaaaaaaa!:A S 114:

Yangu macho na masikio...........
 
Mtachoka tu kuandamana li-nchi likubwa sana hili. Kodi zetu ndio zinateketea hivo. Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo. Watoto wetu waendelee kusoma chini ya miti na kukalia mawe. Tuendelee kuigharamia SIASA mpaka basi.

wilbad
 
....Kodi zetu ndio zinateketea hivo...
Mkuu, unalipa kodi kwa serikali au kwa CHADEMA?
....Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo...
CCM wananunua mabango nje ya nchi huko South Africa kwa hiyo wanapeleka fedha zetu huko, CHADEMA wanaacha fedha humu humu nchini kwa kuwapa kazi waandaaji wa mikutano na logistic nyingine. Tofauti ipo sana tu!
 
Serikali yetu masikini imekuwa ikiwapatia CDM mamilioni ya shilingi kama ruzuku ya chama hicho kila mwezi kujijenga kidemokrasia na kuleta chachu ya maendeleo nchini lakini CDM wamekuwa wakitumia fedha hizo za walipa kodi kwa kutalii mikoa kadhaa huku wakipoteza nguvu ya rasilimali watu kwa maandamano, nchi hii inahitaji wachapakazi na wenye kuleta chachu ya maendeleo na si watalii.
 
Mtachoka tu kuandamana li-nchi likubwa sana hili. Kodi zetu ndio zinateketea hivo. Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo. Watoto wetu waendelee kusoma chini ya miti na kukalia mawe. Tuendelee kuigharamia SIASA mpaka basi.

Nawaombea CDM kura yako toka mpoyoni ufaidi mabadiriko
 
Uchumi wao unamudu anasa hizi za kisiasa. Marekani wanachangishana sana tu kama harusi za hapa kwetu. Sisi tunagharamia siasa kwa kuzitesa huduma muhimu za JAMII. Amkeni Watanzania tuandamane kuifuta ruzuku kwenye vyama hivi.

Tatizo n kwamba huenda kuna kitu ambacho unataka kukisema ila uwezo wa kukinjengea hoja huna. Yaana unapowakataza coca cola kutangaza kwa sababu books zao hazi balance huwezi kukurupuka na kusema kuwa achane tu kutangaza inabidi lazima u build business case na uoneshe various appraisals. Yaani kukikatisha chama kufanya maandamo ni adie ya mtu wa ajabu kabisa. Chama kinakataliwa kufanya maandamano pale watu wanapokataa kujitokeza. Ndiyo maana cuf, nccr na ccm hata kama wanapesa hawawezi kufanya maandamano.

Kwa taarifa yako serikali ya Tanzania ina magari mengi kuliko federal Gov ya marekani na serikali ya uingeleza. sasa niambie kuwa sisi tunamudu uchumi kuliko wao
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Mtachoka tu kuandamana li-nchi likubwa sana hili. Kodi zetu ndio zinateketea hivo. Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo. Watoto wetu waendelee kusoma chini ya miti na kukalia mawe. Tuendelee kuigharamia SIASA mpaka basi.

jamami huyu ndugu na chama chake waliwaita vyama pinzani ni vya msimu.sasa moto wawaka wanabwabwaja
 
Hali ya amani iko poa mpaka muda huu, askari wapo wa kutosha mji mzima, watu wanaendelea kumiminika kwa utashi wao kwenda kwenye uwanja wa mkutano ambao upo eneo linaitwa ccm, magari mawili fuso yenye majukwaa yapo yanaendelea kuandaliwa na mzika ukiendelea kuburudisha halaiki iliyopo. Kuna shule jirani hapa watoto walikuwa darasani wamegoma kuendelea kusoma wanataka waje uwanjani, naona mwl anawarudisha darasani lakini watoto wanadinda hao wanakimbia kuja uwanjani.

Kwa kuwa uwanja huo wa CCM rwandanzovwe upo bembezoni mwa shule ya msingi, haikuwa busara kuweka mkutano unaorushwa na maspika yenye sauti kubwa wakati wa masomo, hili ni tatizo!!
 
Halmashauri ipi hiyo. Mnatakiwa kufanya zaidi ya hizo halmashauri zenu. CHADEMA ni ya WATANZANIA wote. Natamani nisilipe kodi nchi hii ambako fedha zinagharamia siasa na wanasiasa kupita kiasi.

Hizo zingine hatuna mamlaka nazo mkuu.. [COLOR="yellow"[COLOR="#ff00ff"]]chama cha majambazi wamezikalia hizo halmashauri na bajeti za chai na vitumbua[/COLOR][/COLOR] ndio maana hatuwezi kuwasaidia wananchi walioko kwenye hizo halmashauri..

njia pekee kuwasaidia wananchi hao ni maandamano ambayo yanafungua macho ya wasioona ili come 2915 wafanye uamuzi sahihi

nawe pia unatakiwa kuhamasisha babu, bibi na shangazi kule ushirombo wafunguke macho kwani wanatazama bali hawaoni..

Lets awake our fellow countrymen.. tutakuja kujibu nini kwa wenetu? nchi inahujumiwa hii
 
Mkuu, unalipa kodi kwa serikali au kwa CHADEMA?

CCM wananunua mabango nje ya nchi huko South Africa kwa hiyo wanapeleka fedha zetu huko, CHADEMA wanaacha fedha humu humu nchini kwa kuwapa kazi waandaaji wa mikutano na logistic nyingine. Tofauti ipo sana tu!
Nalipa kodi kwa serikali. Serikali inawapa CHADEMA karibu 1bn kila mwezi kama RUZUKU. Dr Slaa alifanya kazi kubwa mwaka jana kuipandisha ruzuku hii.
 
acha kuongea pumba wewe, bila chadema usingekuwa hapo ulipo.
Mtachoka tu kuandamana li-nchi likubwa sana hili. Kodi zetu ndio zinateketea hivo. Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo. Watoto wetu waendelee kusoma chini ya miti na kukalia mawe. Tuendelee kuigharamia SIASA mpaka basi.
 
Hizo zingine hatuna mamlaka nazo mkuu.. [COLOR="yellow"[COLOR="#ff00ff"]]chama cha majambazi wamezikalia hizo halmashauri na bajeti za chai na vitumbua[/COLOR][/COLOR] ndio maana hatuwezi kuwasaidia wananchi walioko kwenye hizo halmashauri..

njia pekee kuwasaidia wananchi hao ni maandamano ambayo yanafungua macho ya wasioona ili come 2915 wafanye uamuzi sahihi

nawe pia unatakiwa kuhamasisha babu, bibi na shangazi kule ushirombo wafunguke macho kwani wanatazama bali hawaoni..

Lets awake our fellow countrymen.. tutakuja kujibu nini kwa wenetu? nchi inahujumiwa hii
Fanyeni yale ambayo CCM hawafanyi. Kwa mfano baada ya maandamano ya leo mngekabidhi madawati 500 jimbo la Mh Sugu. Mnaandamana tu utadhani NGO!
 
Nalipa kodi kwa serikali. Serikali inawapa CHADEMA karibu 1bn kila mwezi kama RUZUKU. Dr Slaa alifanya kazi kubwa mwaka jana kuipandisha ruzuku hii.

Kumbe unabisha wakati ukweli unaujua. Akhsante sana. Ukiongea tena zaidi ya hapa utaharibu, nakushauri ukae kimya ndugu umeongea point nzuri kuliko point zote zilizotolewa kwenye thread hii. Big up.
 
Serikali ya CCCM imekuwa ikiwapatia CDM mamilioni ya shilingi kama ruzuku ya chama hicho kujijenga kidemokrasia na kuleta chachu ya maendeleo nchini lakini CDM wamekuwa wakitumia fedha hizo za walipa kodi kwa kutalii mikoa kadhaa huku wakipoteza nguvu ya rasilimali watu, nchi hii inahitaji wachapakazi na wenye kuleta chachu ya maendeleo na si watalii.

IT SEEMS YOU ARE HUNGRY-HAVE THIS
How to Cook a Pork Roast


Many people just learning to cook are often a bit hesitant cooking a large piece of meat. It seems so intimidating! Well, it doesn't need to be, at all. This boneless pork roast is a great place to begin. All that is necessary to cook this roast is to mix some dried spices with olive oil, rub it all over the roast and put it in the oven. That's it!
IMG_2124.JPG

Roasting a boneless pork loin roast slowly will guarantee moist, tender meat.
Loin refers to the type of cut.
Pork-Cuts.jpg

Put the oven rack in the center of the oven and preheat the oven to 450 degrees.
IMG_1992.JPG

There is often a thin layer of fat on one side of the roast. Do not trim off this fat. It will help to keep the meat nice and moist.
IMG_1999.JPG

Always position the pork roast in the pan so that fat side is on the top.
Measure one tablespoon of olive oil in a small dish.
IMG_2006.JPG

Add 1 Tablespoon of dried spices to the oil. You can use rosemary, sage, thyme, or oregano; or a combination of these that equal 1 tablespoon.
IMG_2012.JPG

Add ½ teaspoon of salt and ¼ teaspoon of ground black pepper.
IMG_2019.JPG

Mix this spice rub together and rub it all over the pork roast.
IMG_2028.JPG

Be sure to rub the spices into the top and bottom.
IMG_2037.JPG

Place the roast on a rack in a roasting pan, fat side up.
IMG_2040.JPG

If you don't have a rack you could coil some tin foil and use that as a rack.
Put the roast in the 450 degree preheated oven. The hot temperature is going to give the roast a nice golden color.
IMG_2043.JPG

Set the timer for 10 minutes.
IMG_2052.JPG

When the timer goes off re-set the oven temperature to 250 degrees.
IMG_2058.JPG

Continue cooking for about 50-80 minutes or until the meat registers 150 degrees on a meat thermometer. Some roasts are long and thin and others are short and fat, consequently the cooking times will vary depending on the shape of your roast. The meat thermometer is the best way to judge the right amount of cooking time.
IMG_2063.JPG

Remove the roast from the oven and set on a cutting board. Cover the meat with tin foil and let it rest for about 15 minutes before slicing it. The temperature of the roast will continue to rise about another 5 degrees.
IMG_2069.JPG

You will get at least 6 servings out of this beautiful 3-pound pork roast.
IMG_2098.JPG
 
Serikali ya CCCM imekuwa ikiwapatia CDM mamilioni ya shilingi kama ruzuku ya chama hicho kujijenga kidemokrasia na kuleta chachu ya maendeleo nchini lakini CDM wamekuwa wakitumia fedha hizo za walipa kodi kwa kutalii mikoa kadhaa huku wakipoteza nguvu ya rasilimali watu, nchi hii inahitaji wachapakazi na wenye kuleta chachu ya maendeleo na si watalii.
ndiyo maana we ni gamba jipya linatakiwa likwanguliwe ili angalau uwe na ufahami.
 
Nazidi kushangaa wadau, kuna babu mmoja hapa nimekaa naye jirani anaonekana anawasubiri kwa mori viongozi wakuu wa chama, muda wote macho barabarani na jukwaani, naona pia kuna mama watu wazima wana mori sana pia na mabadiriko, kuna mabinti wenye wenye ari, akina mama wanazidi kuongezeka, wanavyoonekana wamekuja kwa dhamira za kweli kabisa, vijana ndo wengi zaidi, mabango yalikuwepo mengi sana, baadhi yalikuwa yana bedha hatua ya kujivua magamba ccm wakati nyoka ataendelea kuwa yuleyule, pia yamembedha shitambala kwa unafiki na njaa yake, uwanja unazidi kujaa kwa kasi hapa.
 
Back
Top Bottom