Maandamano ya CHADEMA Bunda mabomu yapigwa

Maandamano ya CHADEMA Bunda mabomu yapigwa

Bunda ndio kielelezo cha wanyonyaji yaani serikali imesahau wilaya kabisa ndio maan wananchi wanauchungu sana wakiona watu kama Sitta Kikwete wanachezea katiba fanyeni kweli bwana
 
Wewe inaonekana ni mvivu wa kusoma au mvivu wa kutafuta habari. Katazame ripoti ya maendeleo 2012/2013 - Bunda ndiyo wilaya maskini kuliko wilaya zote Tanzania. Usibishie usichokijua. Fanya utafiti kabla ya kubisha.

ukiwa chadema na akili zinavia

hebu tupe chanzo cha habari yako
 
hao ndo wana ufahamu wa haki zao, wengine mpaka katiba ianze kutumika ndo watazinduka
Unaongelea katiba ipi mkuu.Ya Warioba au ya CCM.Maana huu uasnii wanaoufanya sasa hivi
hautatupatia Katiba.Sasa hivi wanakwepesha hoja za msingi wanang'ang'ana eti wanayoiandaa sasa hivi imeweka kipengele cha gender 50/50,Ardhi,Uchumi ilimradi kuficha misingi iliyokuwa kwenye rasimu ya ya Warioba.Mfano,mawaziri kutokuwa wabunge,ubunge kuwa na kikomo,maadili ya viongozi ,Serikali tatu nk.
 
Back
Top Bottom