JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
nimepita Bunda jana, sikuamini kuwa ndio anapotoka Wassira, yaani pamoja na kelele zote zile kumbe kashindwa kuweka hata maji?
Hata mwigulu iramba hewa kabisa watu wameezeka nyumba na matope juu ya paa na majani yameota nilimdharau sana