karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
safi sana makamanda
Sasa mkiandamana bunda mtasaidia vipi kusitisha vikao hivyo huko dodoma.
Ni uwendawazimu.
Nakubaliana na wewe
Hakuna aliyejeruhiwa au kuuwawa? Maana vita havina macho!
hao ndo wana ufahamu wa haki zao, wengine mpaka katiba ianze kutumika ndo watazinduka
Hata misri yalianza hivi
Wacha misri libya mambo yalikuwa kama hivi nihatari mtakuja kuleta tabu kwa wazee wa mama zetu na watoto hao polisi watakimbia na hao viongozi watakimbia tutaachwa mm na wewe kwenye mitaa
Sasa mkiandamana bunda mtasaidia vipi kusitisha vikao hivyo huko dodoma.
Ni uwendawazimu.
Ni mapema kujua hiyo maana kila mtu amekimbia, labda baadae kidogo ndo tumeanza kurudi eneo la tukio, lakini wananchi wanaendelea kujikusanya kwenye maeneo tofauti tofauti ili waendelee na maandamo ambayo kwa sasa hayatakuwa na sehemu ya kukutania, ili mradi kila mtu amalize kiu yake ya kuandamana. Changamoto ninayoiona kwa aina hii ya maandamo ni kuwa polisi ambao wana gari moja na maandamo sasa yanaanzia sehemu nyingi nying tofauti tofauti na yanakomalizikia kila kundi linajua lenyewe!!