Maandamano ya CHADEMA Bukoba Mjini Septemba 24

Maandamano ya CHADEMA Bukoba Mjini Septemba 24

Hakuna cha maandamano wala nini mmefulia hamna sera ..... hongera polisi kwa kuwadhibiti, bunge lipo kisheria pt hakikisheni watu hao walioishiwa sera mnawadhibiti kikamilifu.
Sheria ya *&^^^^^ako ya kutuibia kodi zetu bure!!
 
Misukule ya CCM imewekwa hapa kutishia wananchi wanaodai haki yao ya Kikatiba kama Polisi kweli wamedhibiti maandamano mbona bado yana tangazwa ngazi ya kata kijiji, wilaya mkoa na jimbo, hivi polisi na CCM wanadhani wameweza kukabaliana na hali halisi ikiendelea kila siku kuna sehemu yanatangazwa na kufanyika
 
Wenye nchi hawajaamua tu kuandamana! Huko Bukoba kuna polisi wangapi vs wananchi.
 
Back
Top Bottom