Maandamano ya CHADEMA Bukoba Mjini Septemba 24

Maandamano ya CHADEMA Bukoba Mjini Septemba 24

Omulangira

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
230
Reaction score
29
Pamoja na Polisi kuzuia maandamano nchi nzima, CHADEMA Manispaa ya Bukoba. imeandaa maandamano ya Amani ya kupinga matumizi mabovu ya kodi za Wananchi. Yanayoendelea katika Bunge la Katiba.

Maandamano hayo yanafanyika tarehe 24/9/2014 kuanzia saa 3:00 asubuhi mpaka kieleweke hayana mwisho na yatakuwa yakitokea kata zote 14 hadi makao makuu ya Chama. Maandamano ni haki ya msingi kikatiba.
 
  • Thanks
Reactions: jme
Hakuna cha maandamano wala nini mmefulia hamna sera ..... hongera polisi kwa kuwadhibiti, bunge lipo kisheria pt hakikisheni watu hao walioishiwa sera mnawadhibiti kikamilifu.
 
Huyo mleta mada bado ana hangover... sijui nani kamdanganya kuwa bukoba huwa kuna mafala kama Arusha!!! Bukoba hakunaga ujinga kama huo wa maandamano ya wahuni... Lwakatare mwenyewe pale ashafulia kitambo sana.

Kifupi bkb hawana siasa za ushabiki we nenda na sera nzuri watakuchagua.
 
Pamoja na Polisi kuzuia maandamano nchi nzima, CHADEMA Manispaa ya Bukoba. imeandaa maandamano ya Amani ya kupinga matumizi mabovu ya kodi za Wananchi. Yanayoendelea katika Bunge la Katiba.

Maandamano hayo yanafanyika tarehe 24/9/2014 kuanzia saa 3:00 asubuhi mpaka kieleweke hayana mwisho na yatakuwa yakitokea kata zote 14 hadi makao makuu ya Chama. Maandamano ni haki ya msingi kikatiba.

baada ya polisi kupiga chini katika hila zao kwenye uchaguzi sasa wamepania kuua kiongozi yeyote wa chadema anaepita mbele yao tunawaomba viongozi wa chadema Bukoba kwa sasa wasifanye maandamano muda ukifika yatafanyika.kwa sasa tusipunguze kwanza nguvu iko siku dunia yote itakuwa inatuangalia sisi hapo ndipo itakuwa wakati muafaka
 
Thambi kubwa duniani ni uwoga katika kudai haki yako. Mfano chui akamate mbuzi wako na ukatishwa na biti zake imekula kwako, ukikomaa mbuzi wako unachukua mbuzi wa pamoja na biti zake. Ila ukifanya kukoma wakati chui amemdaka swala imekula kwa full.
 
We ni mpumbavu hujui unachokiongea, Kama unakula ccm kaa hukohuko jibu utalipata kesho
 
Hakuna cha maandamano wala nini mmefulia hamna sera ..... hongera polisi kwa kuwadhibiti, bunge lipo kisheria pt hakikisheni watu hao walioishiwa sera mnawadhibiti kikamilifu.

We ni mpumbavu hujui unachokiongea, Kama unakula ccm kaa hukohuko jibu utalipata kesho
 
Huyo mleta mada bado ana hangover... sijui nani kamdanganya kuwa bukoba huwa kuna mafala kama Arusha!!! Bukoba hakunaga ujinga kama huo wa maandamano ya wahuni... Lwakatare mwenyewe pale ashafulia kitambo sana.

Kifupi bkb hawana siasa za ushabiki we nenda na sera nzuri watakuchagua.

Mwenye hangover ni wewe usiyejua unayekichangia unadhani, kutoandamana ndo kuwa mwelevu, watu wamebadilika. grow up dogo.
 
Warangira msidanganyike mtabondwa. Jifunzeni kutii sheria bila shuruti. Wasiwauze hao Chadema. Mmesikia walangila.
 
Hakuna cha maandamano wala nini mmefulia hamna sera ..... hongera polisi kwa kuwadhibiti, bunge lipo kisheria pt hakikisheni watu hao walioishiwa sera mnawadhibiti kikamilifu.

Atakayekataa kutii sheria ashurutishwe kuitii
 
Warangira msidanganyike mtabondwa. Jifunzeni kutii sheria bila shuruti. Wasiwauze hao Chadema. Mmesikia walangila.

Hakuna mtu wa kusikiliza hoja nyepesi kama hiyo, Si kila mgaagaa na mpwa hula wali mkavu
 
Back
Top Bottom