Tusubiri dhambi ya msaliti siku humfika. Tanzania ya viwandaDr. Slaa huwa anasema hata Canada watu hupigwa risasi
Hicho ndicho alichokita mbowe kitokee Ile wakitumie kama duru ya kupata huruma. Nawapa pole wazazi wa marehemu na nawashauri wamfungulie kesi mbowe kwa ushawishi wa kuvunja sheria na kilichompeekea mwanawao kupoteza maisha
Aliekwambia alikuwa KWA maandamano ninani?
Hatuzungumzii theory za risasi kumpata Mtu tunazungumzia Huyo Mwanafunzi aliekuwa anasindikiza Mawakala kwa Mkurugenzi kwa Njia ya Maandamano haramu wakati wenzie wapo hostel
Hilo nalo swali lamsingi kwakila mwenye kujitambua katika jamii anayoishiHuyo Mwanafunzi nae alikuwa Wakala alienyimwa kiapo chake?
lakin huyu alikuwa kwenye daladalaMmhh mbonaa balaa hili...!! Me ndo maana siasa sitakii kabisaa
Watu wanaua wenzao utadhani wao hawatakufa, utadhani wataishi milele. Huyo polisi alomuua huyo binti, hivi ingekuwa mdogo wake ndo ameuwa kwa sababu ya kijinga namna hiyo angejisikiaje. Mungu awape uvumilivu wazazi, ndugu na jamaa na watanzania kwa ujumla katika kifo cha huyo mwanafunzi na wengineo wanaouwawa hovyo hovyo kwa namna moja ama nyingineSaa 11 jioni maeneo ya Mabibo jijini Dar es Salaam, msichana mrembo na anayejiamini anaingia kwenye basi la daladala huku simu yake ikiwa sikioni akizungumza na mtu mwingine.
Daladala hilo linaonekana limejaa, hakuna siti yoyote, lakini msichana huyo hakujali, aliingia kwenye basi hilo na kusimama, safari ikaanza.
Alikuwa anakwenda Kijitonyama ili awahi mabasi ya kwenda Bagamoyo, lakini safari yake ikaishia njiani.
Safari yake ikaishia njiani mara mbili; hakufika Kijitonyama alikokuwa anakwenda, lakini pia safari yake ya duniani ikawa imeishia hapo.
Hiyo ni safari ya mwanafunzi wa shahada ya kwanza wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline aliyeuawa juzi kwa kupigwa risasi na polisi, ambaye simulizi yake imewekwa kwenye gazeti la Mwananchi la Jumapili. Usikose kupata nakala yako.
SWALI LILILOPO:
Aliyefyatua hiyo risasi anajulikana? Na je atafanywaje?
Time will tell.