Wafuasi wa Chadema wameionya polisi na mkuu wa mkoa wasipochukua hatua madhubuti ili kuzuia vurugu hizo watajibu mapigo haraka iwezekanavyo, na kuwa wakijibu mapigo Moshi hakutakalika tena.
/QUOTE]
Natumai hamtaingia kwenye mtego huu ili muwe sababu ya ukosefu wa amani. Moshi inatakiwa ibaki kama ilivyokuwa na Mzee Ndesa.