isiwe maandamano ya siku moja tu mlioko Tanzania anzisheni picketting kama tulivyofanya uingereza kwenye ubalozi wa makaburu mpaka uhuru ukapatikana. mnaanza kwenye ubalozi wa EU na worldbank BOT na Marekani kuwaambia wasihusiane na mafisadi kwani kila nchi inyoheshimika wezi wanaadhibiwa. Hata washin gton pale makao makuu na UN NewYork.