Maandamano nchi nzima yatangazwa baada ya bunge kukubali muswada wa sheria wa marekebisho ya katiba


naamini hata askari watunga mkono, watakuwa wakimaliza malindo yao kama wajibu wao unavyowataka, watakuwa wanajumika pamoja
 
CCM ndio watanzania...CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuiongoza nchi na wananchi. Maoni wanayoyatoa ni ya watanzania wote walioiweka madarakani. Sioni sababu ya kikundi cha watu wachache ya kutaka kuyumbisha malengo mazuri ya chama tawala.
Muda mwingine ni vizuri ukawa unatoa uvivu wa kufikiria unaposema ccm ndo mawazo ya watanzania wote una hakika na hilo? kuna watanzania wangapi waliopiga kura na kuiweka ccm madarakani ukilinganisha na wasiopiga? ina maana hao walio wengi ambao ni karibu asilimia 70 wasiopiga kura siyo watz....ww vp mbona una narrow scope? think!! unaboa mi huwa spendi kutukana masaburi wee...!
 
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali

rejao huhitaji kusafiri ili kudai katiba mpya, unachohitajika kukifanya ni wewe na sehemu yoyote ulipo kuunga mkono kama kweli una nia ya dhati kuepusha machafuko ya WANANCHI V/S CCM/. DSM wakishatangaza utaratibu, watatutangazia mikoani nasi tutangaza utaratibu wa kudai katiba hiyo.
 
kaka usitutukane, wewe mwenyewe unajua mazingira ya uchaguzi yalivyo kuanzia Tume ya uchaguzi, Elimu duni ya uraia, hali ya Kampeni ilivyo, ufukara tulionao yote haya yanachangia CCM kupita kwa urahisi. Ni vigumu sana tena mno kukwepa viunzi hivi. tuombe radhi mkuu...

Hatupendi wapite ila mazingira haya yanaruhusu wapate ushindi kwa urahisi.
 
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali

Wewe mjinga sana, imefika wakati inabidi ufunguke kuwa katiba ni ya wananchi kwanini wasishirikishwe, katiba ni mali ya wananchi cyo ya rais, bravo wanaharakati, bravo prof shivji, bravo tume ya majaji, bravo NSSR na CDM
 

Nimekuelewa kwamba, watakuja na kura ya maoni ya NDIYO au HAPANA. Kwa kuwa wananchi wengi tutakataa mawazo ya CCM, tutaikataa katiba kwa kura nyingi na CCM watahitimisha kwa kusema watanzania HAWATAKI katiba mpya, wamepitisha ya zamani na ndo utakuwa mwisho wa harakati za katiba mpya kwa vigezo vy kura za hapana.

My note is that, ikiwa itakuwa hivyo, basi vita ya wenyewe kwa wenyewe, itakuwa imetangazwa rasimi na CCM.
 
Unafiki ni kitu kibaya sana na mwisho wake huwa ni aibu...pia uoga na nidhamu ya kinafiki ya kutii kila unachoagizwa pasipo kutumia akili yako ni ujuha. Yule anayekuagiza ufanye hivyo ni kama amekushikua akili yako na ana ku-twist vile apendavyo. Ipo siku wabunge wa ccm watajiona ujuha wao kwa kukubali kutumika kwao pasipo kutumia akili zao. Watambue kuwa bunge lilikuwepo hata wakati wa mkoloni, wao si wa kwanza na pia wataliacha-wasijione kuwa ndiyo wamefika kwa kuwa wabunge...ipo siku tu
 

MNAJUA WATU WENGI WALIMLAUMU YULE NDUGU JAIRO WAKATI ALIPOELEZEA KUHUSU WABUNGE LAKINI WATU WENGI WALIMJADILI MTU ZAIDI(JAILO) KULIKO ISSUES ZAKE. Sasa ndio haya tunayaona,NA BADO KUNA MENGI ZAIDI TUTAYAONA!
 
Tanzania ,Tanzania nchi yangu yenye maziwa na asali ,nakupenda sana,nawapenda wana nchi wenzangu,ila naumizwa na selikali yangu ambayo haingalii maslai ya Taifa lake na wananchi wake,tupo pamoja wakubwa katika maandamano
 
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali

Nenda MOMBASA UKAOLEWE WEWE!
 
CCM ndio watanzania...CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuiongoza nchi na wananchi. Maoni wanayoyatoa ni ya watanzania wote walioiweka madarakani. Sioni sababu ya kikundi cha watu wachache ya kutaka kuyumbisha malengo mazuri ya chama tawala.

Du!!!
Kama zingepigwa kura na matokeo ya haki yangesema hayo.
Pia hata hao wachache ambao hawakuichagua ccm ni wananchi na ni muhimu kusikilizwa.

Mbona Zanzibar ni wachache wana haki sawa na watanganyika walio wengi?
 
My friend you cannot equate a party with people, and not CCM of all parties...so acha kujifariji na kujaribu kuzima the obvious...maandamano ndio silaha ya weyne nchi...viva Watanzania...I am in
Maandamano kwa Tanzania siyo njia sahihi ya kudai haki. Mara ngapi wananchi wameandamana? Je wamefanikiwa? wameishia tu kupata kipigo!
Think of another alternative but siyo hii ya kuandamana

utakua una shda na pesa ya sukari!
Nije kwako utanisaidia?

ELEWA KW SAUTI YA UMMA NI SAUTI YA MUNGU!i
Duh....mungu tena?? haya mama..Inshallah

Kila mtanzania anahaki ya kupiga kura...tunaangalia majority rule..kama wameichezea haki yao, let them suffer consequences
Haaa...Pole..dar kila mtu yupo busy na kutafuta maisha!
Wewe mjinga sana, imefika wakati inabidi ufunguke kuwa katiba ni ya wananchi kwanini wasishirikishwe, katiba ni mali ya wananchi cyo ya rais, bravo wanaharakati, bravo prof shivji, bravo tume ya majaji, bravo NSSR na CDM
NSSR hii ndio nini?
 
haya mambo yanafanya nchi hii isitawalike kabisa - yaani watu wameshajua haki zao basi matatizo matupu --- hii kazi ya kuongoza sasa inakuwa ngumu mno -- yaani kila kona ni moto mtupu -- wanafunzi moto, wamachinga moto, wanasiasa moto, wanaharakati moto, wabunge wa upinzani moto - kina mama niliowategea miaka yote nao moto laaahhh....... sasa nikimbilie wapi mimi CCM? mashambulizi kina kona? nafwaaaa........
 
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali

Yaani upupu wote unaojitahidi kuutoa hapa JF magamba hawakulipi? Sikutegemea uombe nauli.
 
Kama maandamano kweli yatanza, basi wote tuimbe wimbo huu: Wewe ni unani Jamaaaa, mimi Mtanzania,Watoto wananitegemea,ndugu wananitegemea, mimi ninani jamii.*2Mimi ni Mtanzania, Taifa linanitegemea, matataifa yanaminitegemea*2 Ninyi munani Jama,sisi ni Watanzania. kisha Solidarity forever. Amani na mshikamano msingi wa katiba na demokrasia ya kweli kwa Tanzania tuipendayo.Tanznaia HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…