Jukwaa la Katiba latangaza uamuzi mgumu
Jijini Dar es Salaam, Jukwaa la Katiba limetangaza maandamano makubwa yasiyokoma nchi nzima, kama hatua ya kupinga hatua hiyo ya serikali baada ya jitihada zao za kuishauri serikali kwa njia za mazungumzo kushindikana.
Akizungumza mara tu baada ya uamuzi wa serikali kuruhusu muswada huo kusomwa kwa mara ya pili huko Dodoma, mwenyekiti wa jukwaa hilo, Deus Kibamba, alisema kwa kuwa wabunge wa CCM wameamua kuwadharau Watanzania na kupuuzia mawazo yao, sasa taifa litashuhudia maandamano ambayo hayajapata kuwapo nchini.
Sasa tutawaonyesha watawala wetu ya kuwa sisi Watanzania ndio wenye nchi. Tutaagiza maandamano kutoka kila kona ya nchi kuelekea Dar es Salaam, na tutakusanyika katika uwanja mkubwa ambapo tutakaa kwa siku zote hadi serikali itakapoamua kuondoa muswada huo bungeni, alisema Kibamba.
Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa ni masikitiko makubwa na mshangao kwa wapenda amani kuona jinsi serikali na wabunge wa CCM wanavyoweza kuwadharau wananchi wake katika mambo mazito ya taifa.
Mapema juzi, jukwaa hilo liliitahadharisha serikali kuwa isiposikia kilio cha Watanzania, wataamua kuandamana nchi nzima bila kukoma na wakalitahadharisha jeshi la polisi na majeshi mengine, kukaa pembeni kwa sababu Watanzania wanalilia haki yao ambayo haiwezi kuzuiwa kwa wingi wa askari, silaha na mabomu
Source: Gazeti la Mwananchi
Muda mwingine ni vizuri ukawa unatoa uvivu wa kufikiria unaposema ccm ndo mawazo ya watanzania wote una hakika na hilo? kuna watanzania wangapi waliopiga kura na kuiweka ccm madarakani ukilinganisha na wasiopiga? ina maana hao walio wengi ambao ni karibu asilimia 70 wasiopiga kura siyo watz....ww vp mbona una narrow scope? think!! unaboa mi huwa spendi kutukana masaburi wee...!CCM ndio watanzania...CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuiongoza nchi na wananchi. Maoni wanayoyatoa ni ya watanzania wote walioiweka madarakani. Sioni sababu ya kikundi cha watu wachache ya kutaka kuyumbisha malengo mazuri ya chama tawala.
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali
Freedom is comming tomorrow........ usemi wa zamani kidogo " Punda haendi bila kichapo " ....Bila kuchapana hapa mambo hayawezi kuwa mambo......tuchapane kwanza!!!!!
Hivi wewe unajua bei ya petroli?
kaka usitutukane, wewe mwenyewe unajua mazingira ya uchaguzi yalivyo kuanzia Tume ya uchaguzi, Elimu duni ya uraia, hali ya Kampeni ilivyo, ufukara tulionao yote haya yanachangia CCM kupita kwa urahisi. Ni vigumu sana tena mno kukwepa viunzi hivi. tuombe radhi mkuu...Mkome na nyinyi kuendelea kuchagua wabunge wa CCM. Mnataka mvune msichopanda?
Lakini kwa hili ni bora tusubiri tena miaka mingine 50, kuliko kupata hii katiba ambayo CCM
wanataka kutuletea.
Believe me hata wakilazimisha CCM wakaileta kwa wananchi kwaajili ya kupigiwa kura, hata
kama King pin wa uchakachuaji Makame Lewis na Rajabu Kiravu watasimamia hawawezi kupata
two third ya votes. Itakuwa kama Kenya Ndizi (banana) na Chungwa (Orange).
Lakini pia Tanzanians we are doomed, kwasababu serikali ya CCM haina nia kabisa na Katiba
mpya, hiyo ndiyo amebaki njia yao tu, kutuletea katiba ambao wanafahamu fika kwamba
wananchi tutaikataa na NENO litatimia la kutokuwa na katiba mpya.
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali
Mkome na nyinyi kuendelea kuchagua wabunge wa CCM. Mnataka mvune msichopanda?
Lakini kwa hili ni bora tusubiri tena miaka mingine 50, kuliko kupata hii katiba ambayo CCM
wanataka kutuletea.
Believe me hata wakilazimisha CCM wakaileta kwa wananchi kwaajili ya kupigiwa kura, hata
kama King pin wa uchakachuaji Makame Lewis na Rajabu Kiravu watasimamia hawawezi kupata
two third ya votes. Itakuwa kama Kenya Ndizi (banana) na Chungwa (Orange).
Lakini pia Tanzanians we are doomed, kwasababu serikali ya CCM haina nia kabisa na Katiba
mpya, hiyo ndiyo amebaki njia yao tu, kutuletea katiba ambao wanafahamu fika kwamba
wananchi tutaikataa na NENO litatimia la kutokuwa na katiba mpya.
Nilishangazwa sana jana na Mbunge wa GAMBO wa CUF ndugu Halfa Khalfan ( hata sipendi kumuuta mheshimiwa kwani ameshindwa kutuheshimu watz) baada ya kusema kuwa mswaada ukisha fika bungeni utapita hata kama wakitoka nje, hapo ndoo niliamini kuwa CUF na CCM lao moja maana kama hata mtu kaleta kitu kibovu ila kwakuwa kimefika bungeni basi kitapita duuuu ama kweli wabunge vilaza hawana alama.
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali
CCM ndio watanzania...CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuiongoza nchi na wananchi. Maoni wanayoyatoa ni ya watanzania wote walioiweka madarakani. Sioni sababu ya kikundi cha watu wachache ya kutaka kuyumbisha malengo mazuri ya chama tawala.
Maandamano kwa Tanzania siyo njia sahihi ya kudai haki. Mara ngapi wananchi wameandamana? Je wamefanikiwa? wameishia tu kupata kipigo!My friend you cannot equate a party with people, and not CCM of all parties...so acha kujifariji na kujaribu kuzima the obvious...maandamano ndio silaha ya weyne nchi...viva Watanzania...I am in
Nije kwako utanisaidia?utakua una shda na pesa ya sukari!
Duh....mungu tena?? haya mama..InshallahELEWA KW SAUTI YA UMMA NI SAUTI YA MUNGU!i
Kila mtanzania anahaki ya kupiga kura...tunaangalia majority rule..kama wameichezea haki yao, let them suffer consequencesMuda mwingine ni vizuri ukawa unatoa uvivu wa kufikiria unaposema ccm ndo mawazo ya watanzania wote una hakika na hilo? kuna watanzania wangapi waliopiga kura na kuiweka ccm madarakani ukilinganisha na wasiopiga? ina maana hao walio wengi ambao ni karibu asilimia 70 wasiopiga kura siyo watz....ww vp mbona una narrow scope? think!! unaboa mi huwa spendi kutukana masaburi wee...!
Haaa...Pole..dar kila mtu yupo busy na kutafuta maisha!rejao huhitaji kusafiri ili kudai katiba mpya, unachohitajika kukifanya ni wewe na sehemu yoyote ulipo kuunga mkono kama kweli una nia ya dhati kuepusha machafuko ya WANANCHI V/S CCM/. DSM wakishatangaza utaratibu, watatutangazia mikoani nasi tutangaza utaratibu wa kudai katiba hiyo.
NSSR hii ndio nini?Wewe mjinga sana, imefika wakati inabidi ufunguke kuwa katiba ni ya wananchi kwanini wasishirikishwe, katiba ni mali ya wananchi cyo ya rais, bravo wanaharakati, bravo prof shivji, bravo tume ya majaji, bravo NSSR na CDM
Naombeni mnitumie nauli na mimi... nitakuja kuwapa shule kuhusu mchakato wa katiba na kinachoendelea.. Nitakuja kuwafundisha kuhusu upotoshwaji unaofanywa na hao wanaojiita wanaharakati.
Tukusanyike kwa wingi ili somo lieleweke kwa wengi tafadhali