Maandamano Nchi nzima kumpongeza Rais kwa usimamizi bora wa rasilimali zetu

utaifakwanza

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
14,193
2,812
Wito kwa wafia nchi wote. Naomba nchi iitishe maandamano makubwa kila kona iwe mjini shambani barabarani au porini ili kumpongeza Rais Magufuli kwa harakati kubwa anazozifanya za kusimamia ipasavyo rasilimali za Nchi yetu. Maandamano haya yasiwe na ukomo hadi mabaka uchumi yote yatakapoisha. Halafu mali za mafisadi zikamatwe na wao wafikishwe kwenye mahakama ya mafisadi. Naomba kuwasilisha
 
Naunga mkono Hoja...Kanda zote za CHADEMA nawaagiza kufanya maandalizi haya ya maandamano ya kumpongeza magufuli
 
Back
Top Bottom