Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,193
- 4,661
Ndugu Watanzania
Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN
Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia
Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima
Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani
Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake
Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM
Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN
Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia
Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima
Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani
Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake
Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM