Maandamano Makubwa Yafanyike Kumpongeza Mama Samia Kwa Hotuba Ya Kihistoria Kwenye Baraza Kuu La Umoja wa Mataifa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,193
4,661
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

FB_IMG_16325095509893415.jpg
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334

DSM yasifanyike kwani haijulikani hasira zilizo ijaza mioyo ya wamachinga baada ya kuona kitendo walichofanyiwa wenzao wa vingunguti
scania zitamuangukia nani.
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334
viti vipo wazi hapo naona,Gaddafi alihotubia kama lisaa lizima hapo na alipoombwa kutoka aligoma😂
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334

Mikutano hairuhusiwi kuna janga la corona
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334
Tupiamo tipicha picha,au hata tuvideo tujionee kwamachoo,kuambiwa wakati mwingine kuna mauongoo.
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334
Hivi ni yeye tu pekee au nchi zote za jumuiya ya wanachama zimehutubia ???
 
...Covid,covid, Covid,covid,covid, tuzalishe ....Chanjo covid........ Asanteni kwa kunisikiliza
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334
Unafiki mtupu. Hamna Hotuba hapo.
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334
Dunia ipi imeshangazwa?
Acha ujinga na ushabiki wa kutafuta cheo.Hakukuwa na lolote la kushangaza
Labda waandamane misukule au CCM wenyewe
 
Ndugu Watanzania

Dunia imeshangazwa, imekubali na kufurahishwa na uwezo mkubwa aliouonyesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kupitia hotuba yake kwenye Baraza la Usalama UN

Ndugu Watanzania ukweli ni kuwa Mama Samia ameipaisha nchi yetu ya Tanzania hadi juu kileleni Kwenye medani za kidiplomasia

Ndugu Watanzania naomba tumpatie heshima anayostahili Shujaa wetu kwa kufanya maandamano ya kumpongeza nchi nzima

Ndugu Watanzania nashauri maandamano hayo yaanzie siku ambayo Rais wetu atakayowasili akitokea Marekani

Ndugu Watanzania ili kufanikisha hilo Kamati maalumu iundwe na iongozwe na Waziri Mkuu akiwa Mwenyekiti huku Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Katibu wake


Viva Mama Samia
Viva Tanzania
Viva CCM

View attachment 1951334
Wala maza hana huo mpango wa kupongezwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom