Maandamano mkoa wa Mara leo

Maandamano mkoa wa Mara leo

Mtoa taarifa mbona unatuangusha' hatujapata uhakika wa taarifa
 
Hii ni mbegu iliyopandwa na chama chenye hati miliki ya maandamano. Huu ni uasi. Chama kingine kiko kinapanda mbegu ya udini na ukabila, hasa pale wanaposhawishi umma uamini kuwa mama wa Igunga alivuliwa Hijab, wakati mama wa watu ni mfugaji bora wa nguruwe. Tusipoangalia, mbegu hizi zipandwazo na wanasiasa, zitakuwa maafa makubwa kwa nchi yetu. TUACHE SIASA ZA MAJI TAKA
 
duh! nimeona hiyo link ni haki vijana hao kuandamana kwani sasa jeshi la polisi halifanyi kazi badala yake nifuatilia magari ya mikaa na mirungi kwa ajili ya kupewa chochote.
 
hii ni mbegu iliyopandwa na chama chenye hati miliki ya maandamano. Huu ni uasi. Chama kingine kiko kinapanda mbegu ya udini na ukabila, hasa pale wanaposhawishi umma uamini kuwa mama wa igunga alivuliwa hijab, wakati mama wa watu ni mfugaji bora wa nguruwe. Tusipoangalia, mbegu hizi zipandwazo na wanasiasa, zitakuwa maafa makubwa kwa nchi yetu. Tuache siasa za maji taka
na wewe pia acha uzembe wa kufikiri,acha utumwa wa fikra,acha kuongea pumba juu ya vitu usivyovijua.njia pekee ya mnyonge kupata haki yake ni maandamano,siku zote haki haiombwi bali hutafutwa na kupiganiwa
 
Habari hizi si za kweli,mi nipo maeneo ya mjini hapa hakuna kitu kama icho.Hali ni tulivu kabisa natokea maeneo ya posta naenda majita road kupitia ofisi ya RC,NA KWa rpc ni utulivu kwenda mbele.

Mijitu kama nyie huwa hamkosekani ili kupotosha ukweli
 
na wewe pia acha uzembe wa kufikiri,acha utumwa wa fikra,acha kuongea pumba juu ya vitu usivyovijua.njia pekee ya mnyonge kupata haki yake ni maandamano,siku zote haki haiombwi bali hutafutwa na kupiganiwa

Msome vizuri mkuu; kuna fumbo fulani kalitumia .... mi nimemwelewa vyema!
 
Msome vizuri mkuu; kuna fumbo fulani kalitumia .... mi nimemwelewa vyema!

nimemuelewa vizuri na tambua siku zote mtu aliyefirisika kisera,kifkra na kihoja atakimbilia kuleta mambo ya udini,unafiki na upumbavupumbavu.Wasimcheze mungu kwenye mambo ya kijingajinga huku roho za watu zinaangamia
 
Tatizo la viongozi tulionao hawawezi kufanya kazi bila kushtuliwa.Mauaji yanafanyika lakin hakuna serious measures!Wananchi wako sahih kuandamana.
 
Rpc na dc wa msm bado ni tatizo kubwa katika manispaa ya musoma,chadema tumetangaza mwaka wa nguvu ya umma 2013 tunaanza na mungu na tutamaliza na mungu haki lazima ipatikane.
 
tatizo la viongozi tulionao hawawezi kufanya kazi bila kushtuliwa.mauaji yanafanyika lakin hakuna serious measures!wananchi wako sahih kuandamana.
hii ndo serikari ya ccm haipendi kufanya wajibu wake mpaka wasukumwe na chadema
 
Kuna tabia humu jamvini ikitokea tukio watu ukimbilia picha za nn acheni izo km picha nenda mjengwa na michuzi pumba ww by the way wananchi wa mkoa mara ni werevu na hawaogopi kitu chchte na hawakurupuki na wakianzisha moto akuna cha jwtz ama ffu
 
Kwani wewe upo Musoma Ipi?!eleza ukweli sasa uliopo kwenye hiyo Musoma ulipo!
we masaburi uweza kubishana na george marato aliyetoa taarifa hii au ndio walewale ambao mnatumwa kupindisha ukweli,george marato kasema kuna umati mkubwa wa watu wamejaza barabara kuelekea kwa RPC Mkoa wa mara halafu wewe unaleta upuuzi hapa!sh.................nzi!
 
we masaburi uweza kubishana na george marato aliyetoa taarifa hii au ndio walewale ambao mnatumwa kupindisha ukweli,george marato kasema kuna umati mkubwa wa watu wamejaza barabara kuelekea kwa rpc mkoa wa mara halafu wewe unaleta upuuzi hapa!sh.................nzi!

msamehe bure, anatumia m.a.t.a.k.o kuwaza.
 
Habari hizi si za kweli,mi nipo maeneo ya mjini hapa hakuna kitu kama icho.Hali ni tulivu kabisa natokea maeneo ya posta naenda majita road kupitia ofisi ya RC,NA KWa rpc ni utulivu kwenda mbele.


Kwa hiyo mkuu unataka tuamini kuwa radio 1 na ripota wao Mr Marato wamezusha ?
 
Back
Top Bottom