Maandamano mkoa wa Mara leo

Maandamano mkoa wa Mara leo

Wanakwetu poleni sana jamani tuko pamoja sana .mme wa mtu naona updates zako angalau zinanipa mwanga.tunaomba yatayojili pls .
 
Habari hizi si za kweli,mi nipo maeneo ya mjini hapa hakuna kitu kama icho.Hali ni tulivu kabisa natokea maeneo ya posta naenda majita road kupitia ofisi ya RC,NA KWa rpc ni utulivu kwenda mbele.

Mkuu wewe upo Musoma ipi, kwani haujui kuna mauaji yanaitwa makili kili? Watu wanawachinja vichwa wanawake na watoto kwa minajili ya imani za kishirikina kwa ajili ya huko migodini na kwingineko? Kuna tukio usiku wa leo limetokea huko Mugango na ni moja ya matukio mengi yaliyotokea? Na mkuu wa Wilaya akaitisha mkutano kuzungumzia suala hili?
 
na wewe pia acha uzembe wa kufikiri,acha utumwa wa fikra,acha kuongea pumba juu ya vitu usivyovijua.njia pekee ya mnyonge kupata haki yake ni maandamano,siku zote haki haiombwi bali hutafutwa na kupiganiwa

Nashukuru kwa matusi mengi, ingawa hujatafakari njia sahihi ya suluhisho. Umeibiwa kura za uraisi 2010, Umeonewa na kunyanyaswa kwenye mikutano halali ya chama chako, Wananchi kwenye mikutano yako wameuwawa bila hatia, ila unaona suluhisho ni kuandamana ili kufikisha ujumbe kwa anayekuonea, HII NDIYO AKILI?????????????? Hayo ni mawazo ya mwanamapinduzi??????????????? TAFAKARI! CHUKUA HATUA!!!!!!!
 
Back
Top Bottom