Maandamano mkoa wa Mara leo

Maandamano mkoa wa Mara leo

horace

Member
Joined
Dec 18, 2012
Posts
49
Reaction score
7
Wananchi mkoani Mara waandamana kupinga mauaji ya raia. Waendesha bodaboda. Barabara zimejaa na wanelekea kwa rpc. Hali ni tete. Watu ni wengi sana sana









source: Radio one breaking news
 
MKOA WA MARA unatakiwa utawaliwe na JWTZ sio rc wala rpc
 
Wananchi mkoani mara waandamana kupinga mauaji ya raia. Waendesha bodaboda. Barabara zimejaa na wanelekea kwa rpc. Hali ni tete. Watu ni wengi sana sana









source: Radio one breaking news

Mkuu uko kwenye eneo la tukio au vipi??!!,kama uko eneo la tukio picha ni muhimu sana ukizingatia Thread yako haina maelezo ya kutosha tafdhali sana.
 
unajua ukitaka kuenda na mlevi kama mtu ambaye hajalewa hamtaelewana kamwe. Hivi kwanini hao wamara wasisaidiwe vile watakavyo. Unajua hili sio tatizo jipya eh? Hebu angalieni hi mambo aise
 
Hawachelewi kusema lema ndio anayaongoza hayo maandamano.
 
Mkuu uko kwenye eneo la tukio au vipi??!!,kama uko eneo la tukio picha ni muhimu sana ukizingatia Thread yako haina maelezo ya kutosha tafdhali sana.

Habari hizi si za kweli,mi nipo maeneo ya mjini hapa hakuna kitu kama icho.Hali ni tulivu kabisa natokea maeneo ya posta naenda majita road kupitia ofisi ya RC,NA KWa rpc ni utulivu kwenda mbele.
 
Habari hizi si za kweli,mi nipo maeneo ya mjini hapa hakuna kitu kama icho.Hali ni tulivu kabisa natokea maeneo ya posta naenda majita road kupitia ofisi ya RC,NA KWa rpc ni utulivu kwenda mbele.

acha upumbavu we upo msm ipi?
 
Haki haipatikani bure ila kwa kuidai kwa nguvu zote ikiwepo kuvuja jasho na damu ona misri na kenya.

Hiyo ndiyo njia sahihi kuwalazimisha watawala wa ovyo kubadili mwelekeo na kufuata matakwa ya wengi ambayo ni haki

Watanzania tuamke kudai haki zetu, elimu bora, afya bora na siasa safi (sisi sio kuku wa kitoweo kuchinjwa na kuuliwa ovyo kama vile tanzania sio yetu ni ya akina chenge, kinana, kikwete... peke yao!)
 
Wananchi wamechoshwa na mauji ya raia wasio na hatia,na mpaka sasa wameandamana mpaka kwa rpc,rpc hana cha kuongea imebidi aombe kesho ahutubie mkutano wakati mwanzo mbunge wa msm mjini Mhe Vincent Nyerere alimuita aje awaeleze wananchi ni hatua amechukua akakataa akaenda kula nyumbu na wali kwenye sherehe akawaacha wananchi.
 
Back
Top Bottom