Maandamano Makubwa Kupinga Muungano - Baada ya Swala ya Ijumaa, Zanzibar!

hii habari njema unajua machafuko hayaanzi from no where tumeshuhudia nchi nyingi na ninavoona nchi hii inaelekea kutamu watu watachangamka hata kama tutapoteza maisha yetu ila watakaobaki maendeleo na adabu zitakuwepo
 
Nje ya Muungano hakuna CCM (Magamba kwishney), Hii habari hata kama sio ya kweli,ntapiga dua iwe kweli
 
Mpelekeeni nakala Hamad Rashid. Huku Dodoma anaongea mambo mengina kabisa!
 
Wabunge wa CUF wameng'ang'ana Chadema,chadema na wengine Lisu lisu na kwamba tumetumwa na wananchi wa Zanzibar kutetea muungano. Wananchi wepi hao wakati watu wanaandamana hawataki muungano? Unafiki karibu utawekwa wazi na hali halisi inayojitokeza.
CUF wajue kuwa mshirika wao CCM na viongozi wake hawana mshipa wa aibu hata kidogo hivyo kutoswa siku moja sio jambo la ajabu.
 
Me naamini itakuwa kweli.
Walipeleka barua UN, wakasema watatangaza maandamano.
Na sasa wametangaza.
One thing hawa jamaa najua hawatarudi nyuma.
Na sisi tuwaunge mkono na ili kugawana polisi (diversion) huku bara tuandamane na sisi kwa kutaka huu muswada wa katiba kurudishwa mpaka marekebisho yafanyike.
Kwa style hii polisi watashindwa wapande meli kwenda zenji au wabaki huku.


Zanzibar nawatakieni kila la kheri Allah awaongoze. Nitakuja kutalii mkiwa nchi huru.
 
Baada ya wanaharakati kufikisha madai yao na barua yao UN Zanzibar hapoi last week zidi ya muungano. Sasa maandamano makubwa kupinga mungano yamepangwa baada ya swala ya ijumaa 18 Nov 2011. Mandamano yataanzia Komba Wapya ground, na kuishia Maisara grounds yakipitia Kinazini, Msikiti Mabuluu, Mlandege, Michenzani, Madema then kuingia maisara. Lengo ni kujulisha umma/kuelimisha umma juu ya masuara ya muungano Tanganyika na Zanzibar na harati zilizofanyika mpaka kufikisha barua ya kupinga muungano ktk ofisi za UN Zanzibar.
Barua kuhusu maadamano haya wamepelekewa polisi; Kujulishwa si kuombwa ruhusa, pia copy imepelekwa UN Sub office Zanzibar, AG, Police cammander Urban, ZARFA lawyer- Kenya na Media house.

Habari ndo hiyoo anayetaka source asubili Ijumaa!
mimi nawapongeza kwa mpango huu ila nashindwa kuelewa ni kwa nini wanaandamana siku ya ijumaa ambapo wanalenga kutokea msikitini ???
Kuna nguvu gani wanaitegemea kutokea msikitini ??

Je hapa kuna Udini ??
Sasa znz hakuna Wakristo na kama wapo wao watatokea wapi??
 
Baada ya wanaharakati kufikisha madai yao na barua yao UN Zanzibar hapoi last week zidi ya muungano. Sasa maandamano makubwa kupinga mungano yamepangwa baada ya swala ya ijumaa 18 Nov 2011. Mandamano yataanzia Komba Wapya ground, na kuishia Maisara grounds yakipitia Kinazini, Msikiti Mabuluu, Mlandege, Michenzani, Madema then kuingia maisara. Lengo ni kujulisha umma/kuelimisha umma juu ya masuara ya muungano Tanganyika na Zanzibar na harati zilizofanyika mpaka kufikisha barua ya kupinga muungano ktk ofisi za UN Zanzibar.
Barua kuhusu maadamano haya wamepelekewa polisi; Kujulishwa si kuombwa ruhusa, pia copy imepelekwa UN Sub office Zanzibar, AG, Police cammander Urban, ZARFA lawyer- Kenya na Media house.

Habari ndo hiyoo anayetaka source asubili Ijumaa!
Mimi ninawaonea huruma sana polisi kipindi hiki, hasa ukichukulia na serikali haina pesa kwasasa maana tungesema watatengeneza posho kwa kuua watu
 
kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.Niwe mkweli kabisa kama kuna makosa makubwa alifanya mwalimu ni hili la kuingiza ZENJI ktk ktk muungano kwa muundo huu mbovu.
 
Inamaana wananchi wa znz wapo tofauti na hawa wabunge wao wa muungano au ndo biriani bila nyama?????
 
Mie huwa nashangaa kwa nini wazanzibar wanabembelenzwa kwenye huu muungano wenyewe hawautaki kabisa. Big up Tundu lisu.
 
Wakuu nifahamisheni tafadhali.
Ikitokea umevunjika, Lipumba na Mtatiro watakuwa upande gani?
 
Habari njema nawaunga mkono muungano ukivunjika Tanaganyika itafaidika Zanzibar itafaidika lakini wale wazenj waliojazana Dar wajiandae kuondoka mara moja.
Usiwatishe! Mbona husemi wale wachina waondoke?
 
yes,
Ndo shughuli imeanza hivyo.
Tujipange mwendo mdundo, wazenji mmesalitiwa na mliokuwa mnawaamini. mtakoma.
 
Isije ikawa unafiki,wala isije ikawa mnabipu,wanaume wamelipasua live jipu,si mlimsikia Tundu,kaweka mambo hadharani bila kumung'unya maneno.sasa kama sio unafiki mimi binafsi nawapongeza kwa hilo.maana haya majitu ya CCM yanakera mpaka basi,kiukweli sitahili hii ni nzuri ya kuwatwanga kotekote.mnapaswa kuiunga makono Chadema,lakini jambo jingine mibunge yenu ina hara utumbo bungeni kwani hamuioni?au ndo mambo ya ndoa?
Big up kwa uamuzi wa kuandamana kama itakuwa kweli
 
Itasaidia kulirudia jina letu la Tanganyika na chama chetu cha TANU
Ila wasubiri Baada ya kumaliza sherehe za uhuru wa miaka 50 ya the so called Tanzania Bara
 
Hv kama suala la mafuta halikuwepo kwenye articles of union,ccm wamegundua kuna mafuta wakaingiza kinyemela kwenye list na wabunge wa cuf wanafurahia tu!!

Wameshanunuliwa hapo!!!
 
Back
Top Bottom