Maandamano Makubwa Kupinga Muungano - Baada ya Swala ya Ijumaa, Zanzibar!

Luti za maandamano haitakiwi kuwa moja tu TAHADHARI!! ili kuwakoroga hao polisi inabidi tuwe na root kama nne katika kila mji! na wakati wengine tukiandamana kwa root tofauti tofauti lazima tuwe na vikosi maalumu ambavyo kazi yake itakuwa kufunga njia kuu za magari na kuwasha moto wa matairi ovyo ovyo ili kuwavuruga kabisa polisi na wakianza kutupiga risasi za moto tunatawanyika kazi inabaki kushambulia gari za serikali ,majengo ya serikali mahoteli ya kitalii mabengi na chochote kile ambacho kinahusiano na serikali.

Borakufa,tusichome magari wala majengo ya Serikali nk Hivyo vitatughalimu sana sababu wakati tunachukua nchi vitatusaaidia kwa kuanzia. Ni bora tuwachome polisi sababu hawatatusaidia ni madodoki tu hao.
Wenzetu wa Libya walichoma na kuangamiza vitu vya serikali na sasa itabidi wavinunue kaka
 
ccm wenyewe ndio wanavunja muungano. Wazanzibari wamechukizwa sana kwa kitendo cha rais wao kufanywa waziri fafa. Wamlaumu nani?
 
Mtoa Mada Ulisema Watakaohoji Source Wangoje Ijumaa, Ijumaa Ndio Hii. Vipi Mtaandamana?
 
Alizuia Bara tu na si Zanzibar.

Kwani Zanzibar ni nchi nyingine na madaraka ya huyo kamishna mwisho Chumbe. Znz wana kamishna wao wa polisi.


Wakati IGP Omari Mahita anawatandika risasi za moto kule Pemba 2000, hiyo Chumbe
haikuwepo? Au hako ka-muafaka ndiyo kanakupeni kiburi?! Welcome to life on Mars!
 
Haya ndo yanayowaumbua waliolaumu eti LISSU amewadharau wazanzibar kwa chama chake kusisitiza juu ya utata wa huu muungano.Ukweli viongozi wetu hasa wa chama tawala wanaendekeza kuficha ukweli ambao ni mrefu kama mnara usiofunikwa kwa shuka
 
Bara wengi wanafiki wenye shida ya kushibisha matumbo yao. Haya tone maandamano ya nchi nzima kupinga hiyo katiba mpya kama yatafanikiwa chini ya uasisi wa Chadema.

Znz hawataki dhulma na ndio maana baada ya kupeleka barua UN sasa wanaweka mambo hadharani na barua itasomwa.

Aiseeee hebu jaribu kumwambia hayo HAMAD RASHID
 
Back
Top Bottom