Maandamano makubwa Kahama, wafanyakazi wa Acacia watoa kauli nzito

Sasa hivi bora uzushe gonjwa ustaafu kwa ugonjwa ulale mbele na mpunga wako wote.
 
acha upumbavu na ww hayajakukuta ndio maana, hiyo pesa kabla watu hawajaondolewa kazini NSSF walienda mgodini na kuwaahidi watu kwamba watakaopunguzwa(redundacy) watalipwa pesa yao ndani ya miez 3 maximum b'se no. ya watu ni wengi, lakin ingekuwa inafahamika kwamba hakuna atakayelipwa ucngesikia chochote so, that is why they are complaining.

Sasa wamekuta sheria imeshika mkondo nssf waivunje na wao syo watungaji wala watia saini hyo sheria? Watatulia tuli wakishaelewa, ni elimu tu hawana
 
Hawa jamaa hawakuacha kazi kwa hiari yao ilo ni janga la kufungwa kwa migodi ndo lililopelekea wao kupoteza ajira zao, unapomwambia asubiri miaka 55 mtu anaefanya kazi za mgodini si haki 1.Mazingira ya kazi ni magumu vumbi, fumes, kelele kupita kawaida n.k 2.Hakuna uhakika wa kufanya kazi mpaka umri wa kustaafu utakapofika kwa sababu madini yanaisha ardhini na pia mwajiri akiona biashara yake sio nzuri anapunguza wafanyakazi muda wowote. 3.Kuna vtengo uo umri huwezi kufikisha bado una uwezo wa kutimiza majukumu yako believe or not.
Kiujumla hii sector ni tofauti sana na nyinginezo, Mifuko ya hifadhi ya jamii wapeni tu hela yao, mwenye kusoma akasome mwenye kuwa mjasiriamali uo ndo mtaji wenyewe as long as mliahidi mtawalipa.

Apewe kwa sheria ipi?
 
Kila mnyonge na mnyonge wake.
Kwa kuwa ACCACIA wamekataa kutulipa kishika uchumba chetu cha kumuoa Bashite, basi na sisi tumeamua kujifuta machozi kwa mafao ya wafanyakazi wao.
 
Naunga mkono haya maandamano, huwezi kumpangia matumizi mtu mwenye temporary contracts umwambie mpaka afikishe miaka 55 ndipo apate mafao yake.
Hili haliwezekani watu sekita binafsi wapewe pesa zao wakafie mbele huko ila hao unaowaajiri wewe ndiyo sheria hiyo inawahusu.
 
Sheria na taratibu zitafuatwa ...sheria ni msumeno.

Hizo porojo za maandamano hazitazuia hoja za msingi za kuibiwa kwa makanikia na ukwepaji kodi wa barrick/accacia.
 
Naunga mkono haya maandamano, huwezi kumpangia matumizi mtu mwenye temporary contracts umwambie mpaka afikishe miaka 55 ndipo apate mafao yake.
Hili haliwezekani watu sekita binafsi wapewe pesa zao wakafie mbele huko ila hao unaowaajiri wewe ndiyo sheria hiyo inawahusu.
Wafie mbele?Halafu wasipofia mbele waje kuililia Serikali hii hii kuwatunza?
 
Wafanyakazi wa kampuni ya Acacia waliopunguzwa kazi baada ya serikali kuzuia kusafirisha makinikia hawajalipwa nssf zao hadi leo. Hivyo wiki ijayo watafanya maandamano makubwa mjini kahama kuelekea ofisi za nssf kudai mafao yao. Wametishia kuwaondoa watoto wao shule na kukaa nao katika ofisi za nssf hadi watakapo lipwa mafao yao. Mh Kishimba angalia hawa nssf watakupotezea kura, wanakuharibia.
eddy- Wewe utakuwa Lembeli
 
Mkwara tu huu. Mbona mlishangilia wakati jiwe anawasumbua wazungu wa Acacia?
 
Jamani mzungu analea vizuri, jamaa miezi sita bila kazi kitambi bado kipo, nasikia walikuwa wanapewa chai ya maziwa na skonzi kila siku.
 
Back
Top Bottom