Maandamano makubwa Kahama, wafanyakazi wa Acacia watoa kauli nzito

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,085
10,059
Wafanyakazi wa kampuni ya Acacia waliopunguzwa kazi baada ya serikali kuzuia kusafirisha makinikia hawajalipwa nssf zao hadi leo. Hivyo wiki ijayo watafanya maandamano makubwa mjini kahama kuelekea ofisi za nssf kudai mafao yao. Wametishia kuwaondoa watoto wao shule na kukaa nao katika ofisi za nssf hadi watakapo lipwa mafao yao. Mh Kishimba angalia hawa nssf watakupotezea kura, wanakuharibia.
 
Ile sheria ya fao la kujitoa ilishapitishwa na imeanza kazi?

Wakitaka kuzichota kufanyia mambo yao, wanajiamulia tu. Wenye mali wakitaka mafao yao ndio utasikia hadi utakapostaaf. Kwa huu mwendo wa 1.5 T, acha waandamane tu.

Tatizo kiongozi wa malaika hizi habari zinamchefua wasipokua makini kuna wengine wataelekea mochwari na kundi lingine kupata ulemavu.
 
Wafanyakazi wa kampuni ya Acacia waliopunguzwa kazi baada ya serikali kuzuia kusafirisha makinikia hawajalipwa nssf zao hadi leo. Hivyo wiki ijayo watafanya maandamano makubwa mjini kahama kuelekea ofisi za nssf kudai mafao yao. Wametishia kuwaondoa watoto wao shule na kukaa nao katika ofisi za nssf hadi watakapo lipwa mafao yao. Mh Kishimba angalia hawa nssf watakupotezea kura, wanakuharibia.
Hiyo ndiyo njia sahihi ya kupata haki zetu chini ya utawala huu
 
Hatari sana...najiribu jiweja nafsini kwa hao wafanyakazi..

Na maisha yalivyo magumu sasa. Alafu unaambiwa na mafao yako hupewi.

Kmamaake walahi unaweza uwa mtu.
 
Kwani kishimba ndo alitunga sera za kuzuia malipo ya NSSF mpaka wafikie miaka 55...?.

Watu wagumu mno kuelewa,hela sasa haitoki mpaka wafike umri wa kustaafu..

Kama mlishindwa kumuunga mkono Zito kipindi kile anapiga kelele kama hayawani bungeni,mlifikiri anapigania nini?,
mlikuwa wapi kuonyesha mshikamano ili hiyo sera isipitishwe?.

Hiyo ndo imetoka,,hiyo fedha watakula wajukuu sio wewe
 
Kwani kishimba ndo alitunga sera za kuzuia malipo ya NSSF mpaka wafikie miaka 55...?.

Watu wagumu mno kuelewa,hela sasa haitoki mpaka wafike umri wa kustaafu..

Kama mlishindwa kumuunga mkono Zito kipindi kile anapiga kelele kama hayawani bungeni,mlifikiri anapigania nini?,
mlikuwa wapi kuonyesha mshikamano ili hiyo sera isipitishwe?.

Hiyo ndo imetoka,,hiyo fedha watakula wajukuu sio wewe
acha upumbavu na ww hayajakukuta ndio maana, hiyo pesa kabla watu hawajaondolewa kazini NSSF walienda mgodini na kuwaahidi watu kwamba watakaopunguzwa(redundacy) watalipwa pesa yao ndani ya miez 3 maximum b'se no. ya watu ni wengi, lakin ingekuwa inafahamika kwamba hakuna atakayelipwa ucngesikia chochote so, that is why they are complaining.
 
Hawa jamaa hawakuacha kazi kwa hiari yao ilo ni janga la kufungwa kwa migodi ndo lililopelekea wao kupoteza ajira zao, unapomwambia asubiri miaka 55 mtu anaefanya kazi za mgodini si haki 1.Mazingira ya kazi ni magumu vumbi, fumes, kelele kupita kawaida n.k 2.Hakuna uhakika wa kufanya kazi mpaka umri wa kustaafu utakapofika kwa sababu madini yanaisha ardhini na pia mwajiri akiona biashara yake sio nzuri anapunguza wafanyakazi muda wowote. 3.Kuna vtengo uo umri huwezi kufikisha bado una uwezo wa kutimiza majukumu yako believe or not.
Kiujumla hii sector ni tofauti sana na nyinginezo, Mifuko ya hifadhi ya jamii wapeni tu hela yao, mwenye kusoma akasome mwenye kuwa mjasiriamali uo ndo mtaji wenyewe as long as mliahidi mtawalipa.
 
acha upumbavu na ww hayajakukuta ndio maana, hiyo pesa kabla watu hawajaondolewa kazini NSSF walienda mgodini na kuwaahidi watu kwamba watakaopunguzwa(redundacy) watalipwa pesa yao ndani ya miez 3 maximum b'se no. ya watu ni wengi, lakin ingekuwa inafahamika kwamba hakuna atakayelipwa ucngesikia chochote so, that is why they are complaining.
Tatizo mumewaharibia watu ajira zao kwa kungangania makontena ya makinikia, mzungu kataka kuuza magreda aondoke awaache wachimbe kwa sululu nayo mumemzuia, haya na mafao yao munawazurumu roho gani ya hovyo hivi? Hivi dunia inatuonaje dumper cat789 eti imepaki hadi nyasi zinaota?

Au mafao ndo mumegeuza kishika uchumba cha makinikia?
 
Back
Top Bottom