Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011: Yana Kibali Cha Polisi!

bora wameruhusu hayo maandamano mazuri ya kumkomboa mswahili wa tz na uzembe walionao wakufikiri..
Hapo imekuwa poa kabisa, wajamani jitokezeni kwa wingi sana ili mmalize hasira yenu kwa kuzuiwa maandamano ya katiba .Ni vema hilo likafanyika mkiwa na mabango yenu tena mbele ya Mgeni rasmi mwenye sifa.Hai kumbe Mungu hamtupi mja wake !!!!!!!!!

 
Wapo Mission international ya Jijin Dar ,Imeandaa Maandamano ya hisani yenye lengo la kuchangisha Tshs 500m, kwa ya kununua viwanjwa vya ujenzi wa Shule ya Maadili kwa Kizazi kipya.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.

Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.

Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.
Askofu Gammanywa ni kada wa CCM na ndiye aliye mupigia debe JK kwa kutumia Udini:
aliwaita Waandishi wa Habari pale Kilimanjaro Hotel DSM na kusema CDM inaungwa na Maskofu na hivyo kunahatari ya kuwapata viongozi kwa njia ya Udini.

Jacton Manyerere alimuhoji kuwa kwa nini tuhuma hizo wasizungumze Maaskofu kwa Maaskofu ambao ndio wanao toa matamko Wakati Waumini wapo Kimya??
 
Wapo Mission international ya Jijin Dar ,Imeandaa Maandamano ya hisani yenye lengo la kuchangisha Tshs 500m, kwa ya kununua viwanjwa vya ujenzi wa Shule ya Maadili kwa Kizazi kipya.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.

Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.

Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.
[h=2]Kova Ameruhusu Maandamano Ya Kuchangia Mradi Wa askofu Gammanywa tar 26/11/2011 !!!!![/h]
Tarehe 26/11/2011 ,Jeshi la polis Limeruhusu Maandamano ya Kuchangia Mradi wa Kutoa sumu na Chuo Cha Maadili Unao Ongozwa na askofu Gammanywa wa Wapo Radio uliopo Mtaa wa Loliondo Kurasini!!!Taarifa kutoka kituoa Cha Wapo Radio zinahamasisha Wananchi kuhudhuria Maandamano hayo ambayo yanalenga kuchangisha 500m. Mtangazaji amesisitiza watu wengi wahudhurie na kwamba mgeni rasimi atakuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye anafungua mradi huo baada ya Rais Jakaya Kikwete kutembelea Mda mfupi baada ya kusimikwa urais. Jambo la kushangaza Jeshi la polis limepinga marufuku maandamano ya Kupinga Mswaada jumamosi kwa sababu za Al shababu lakini wameruhusu maandamano kwa Askofu Gammanywa wa Loliondo​
 
Askofu Gammanywa ni kada wa CCM na ndiye aliye mupigia debe JK kwa kutumia Udini:
aliwaita Waandishi wa Habari pale Kilimanjaro Hotel DSM na kusema CDM inaungwa na Maskofu na hivyo kunahatari ya kuwapata viongozi kwa njia ya Udini.

Jacton Manyerere alimuhoji kuwa kwa nini tuhuma hizo wasizungumze Maaskofu kwa Maaskofu ambao ndio wanao toa matamko Wakati Waumini wapo Kimya??

Alijibu vipi mkuu
 
Huu ndo muda wa kuonyesha mabango yetu,ujumbe binafsi haukatazwi,KARIBUNI WOTE! Duhh Alshabab wanashambulia maandamano ya Jukwaa la Katiba na ya Chadema tu?Sababu ya kusema eti CCM nao waliomba kufanya maandamano katika tarehe hiyo hiyo 26/11,sioni kama ni sababu ya msingi kuzuia maandamano,polisi walitakiwa waangalie nani alitangulia kuomba kibali ndo apewe!,aidha awe CCM au jukwaa la katiba.
 
Wanaharakati mjichomekezee humo na mabango yenu ili kufikisha ujumbe kwa njia rahisi na pia hakutakuwa na mabomu yatakuwa maandamano ya starehe sana kama mkijipanga.
 
Halafu siku hizi alishababu ni wapendwa maana maandamano ya walokole ruksa maana wanayapenda lakini ya katiba marufuku!
haleluya! Alishababu! preeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeiiiiiiiiii zeeeeeeeee looooooooooooooodi.
 
Utakuwa umebaka maandamano

Kwani malaya anabakwa ?maandamano yaliyoruhusiwa yamekaa kubakwabakwa.Utaombaje kuandamana kwenye siku ambayo wenzako na maswala nyeti wameomba?naona ni sawa na mwanamke kupita uchi mbele ya wanaume wano oga.
 
Back
Top Bottom