Lugha uliyoitumia inadhihirisha kua huna hoja na uwezo wako wa uelewa ni mdogo sana wa haya masuala,ili usiendelee kujiaibisha ni bora ukawa msomaji tu na kuwaachia wajuzi wajadili.
Irani wataanza na mabalozi wa Marekani kisha wakuu wa kambi za kijeshi.
Mmoja baada ya mwingine. Akipigwa hata mmoja tu Marekani watalia hao...wakati wameua mkuu wa majeshi wa nchi nyingine kipuuzi tu.