Trump mwanaharamu anawaambia mkilipiza kisasi tu napiga maeneo 52 sawa na idadi ya wamarekani 52 waliotekwa miaka ile 1970 mwishoni.
Ukisikia ubabe ndio huu, mtu anakuja nyumbani kwako anaua mtoto wako halafu anakutangazia ubabe kwamba ukilipiza kisasi naua wote waliobakia.
Dunia haina haki hii, wakati wairan wanaomboleza bwana mkubwa anakula likizo ya mwaka mpya akicheza gofu na viongozi wengine wasaidizi wake.